Wananchi wa Kata ya Itewe, wilayani Chunya, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake katika ujenzi wa daraja jipya ambalo limeboresha miundombinu na kurahisisha usafiri katika eneo hilo. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mheshimiwa Juma Zuberi Homera, amepongeza Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kazi nzuri ya utekelezaji wa mradi huo muhimu kwa maendeleo ya wananchi.
Trending
- DOR ISSAH ARUDI KILELENI: AIBUKA MSHINDI KURA ZA MAONI CCM MBEYA
- Suluhisho kwa wanawake wanaokuwa wakavu wakati wa tendo la ndoa
- Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Amfukuza Kazi Daktari Aliyembaka Mke wa Mtu Wodini Tabora
- Mwalunenge Aibuka Kama Nguzo ya Maendeleo kwa Vijana wa Mbeya atoa Bodaboda kijiwe cha Nzovwe
- Biashara ikashamiri kuliko zote za awali
- VIJANA TUNATAKA KATIBA MPYA, UHURU WA KUONGEA WAZIRI WA VIJANA AWAPA HEKO VIJANA WA MBEYA
- MAHAFALI YA 16 YA SHULE YA AWALI MARYS PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA WAZAZI WAPEWA UJUMBE MZITO
- Binti mrembo alivyopata kazi baada ya msoto mkali

