Wananchi wa Kata ya Itewe, wilayani Chunya, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake katika ujenzi wa daraja jipya ambalo limeboresha miundombinu na kurahisisha usafiri katika eneo hilo. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mheshimiwa Juma Zuberi Homera, amepongeza Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kazi nzuri ya utekelezaji wa mradi huo muhimu kwa maendeleo ya wananchi.
Trending
- Kutoka kusota hadi usukani wenye utajiri
- Ikulu Dodoma: Rais Samia Azungumza na Mawaziri Baada ya Kuwaapisha
- Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda
- DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI
- Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto
- Safari ya Uponyaji Kutoka katika Maumivu ya Hedhi
- RAIS SAMIA atangaza Baraza lake jipya la mawaziri
- Aondokana na umaskini wa kutupwa baada ya kujua mbinu za betting

