Wananchi wa Kata ya Itewe, wilayani Chunya, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake katika ujenzi wa daraja jipya ambalo limeboresha miundombinu na kurahisisha usafiri katika eneo hilo. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mheshimiwa Juma Zuberi Homera, amepongeza Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kazi nzuri ya utekelezaji wa mradi huo muhimu kwa maendeleo ya wananchi.
Trending
- Nilikataliwa na Wanaume Wote Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niolewe na Tajiri
- Aibu!! Askofu Mkuu abainika kuiba fedha kanisa lake
- Kongamano la Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050 Kufanyika Mbeya
- Prof. Makulilo: Watanzania Wajiandae kwa Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050
- Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo
- Nilirogwa Nipoteze Kila Kitu ila Hatua Niliyopiga Ilinivunja Minyororo Ya Uchawi
- Niliibiwa Gari Yangu Usiku, Lakini Hatua Niliyopiga Ilifanya Wezi Wenyewe Walirudishe Hadi Getini
- Nilipoteza Mume Wangu Kwa Mpango wa Kando ila Kitu Nilichojaribu Kilimfanya Aombe Radhi Hadharani