Wananchi wa Kata ya Itewe, wilayani Chunya, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake katika ujenzi wa daraja jipya ambalo limeboresha miundombinu na kurahisisha usafiri katika eneo hilo. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mheshimiwa Juma Zuberi Homera, amepongeza Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kazi nzuri ya utekelezaji wa mradi huo muhimu kwa maendeleo ya wananchi.
Trending
- “Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”
- HARAKATI ZIWA NYASA MATEMA BEACH KYELA FUKWE ILIYOTELEKEZWA FURSA ZA UVUVI,UTALII HAZITUMIKI VYEMA
- SIKU YA NYUKI DUNIANI MTAALAM AELEZA FAIDA ZAKE, JE WAJUA UKING’ATWA NA NYUKI NI TIBA YA MALARIA?
- WAZEE WA UBWABWA CHAUMA MKOA WA SONGWE WATOA NENO KWA VIOGOZI WA DINI NA SERIKALI
- BENKI YA NMB NYANDA ZA JUU WATOA SAPOTI MABATI 128 KWA SHULE ILIYOEZULIWA NA UPEPO ILEJE
- RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU KIKWETE WAPONGEZWA KWA KUFANIKISHA USHINDI WA PROFESA JANABI KATIKA UCHAGUZI WA MKURUGENZI WA WHO KANDA YA AFRIKA
- JK ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA MAREHEMU CLEOPA DAVID MSUYA HUKO MWANGA
- INEC YATAKA VIONGOZI MIKOA 16 KUSHIRIKI KUONDOA WALIOKOSA SIFA