Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameongoza waombolezaji kutoka Kundi la Afrika pamoja na mataifa rafiki ya Afrika ndani ya IPU kutoa salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge la Zambia, Mhe. Nelly Mutti, kufuatia kifo cha Katibu wa Bunge la Zambia, Marehemu Roy Ngulube, aliyefariki dunia tarehe 7 Aprili 2025 nchini Uzbekistan. Tukio hilo limefanyika leo, tarehe 8 Aprili 2025, jijini Tashkent, Uzbekistan.
Trending
- SHIRIKA LA POSTA LATOA ZAWADI ,VYETI KWA WASHINDI WA UANDISHI WA BARUA MBEYA.
- SERIKALI IMEWEKA MIKAKATI DHABITI YA KUKABILIANA NA MAJANGA NCHINI-MAJALIWA
- WIKI YA VIJANA YAPAMBWA NA MPAMBANO, TIMU 8 KUKIPIGA KWENYE BREW MASTER MWENGE NDONDO CUP
- Ilifikia hatua hadi nikawa namuogopa mume wangu kitandani
- MAWAZIRI WAIMWAGIA PONGEZI BENKI YA NMB KWA UTENDAJI WAKE.
- Benki ya NMB yashiriki kwenye ufunguzi wa Wiki ya Vijana inayofanyika Kitaifa Mbeya
- Nilidhani Wivu wa Majirani Ungehujumu Maisha Yangu, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niishi kwa Amani na Mafanikio
- Kampeni za Mguu kwa Mguu za Ipyana Njiku wa CHAUMMA Yazidi Kutikisa Jimbo la Uyole