Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kupambana na Kuzuia Dawa za Kulevya Aprili 19, 2025 limefanikiwa kukamata Gari yenye namba za usajili T833EDN aina ya Mitsubishi Canter ikiwa imebeba shehena ya Dawa za Kulevya aina ya Bhangi mafurushi 67 ikitokea nchi jirani ya Malawi.
Trending
- Mwalunenge Aunguruma Kata ya Iganzo: Asema Oktoba Ni Kazi Moja tu – Rais, Mbunge na Madiwani CCM
- HATIMAYEEE MGOMBEA UBUNGE CHAUMMA JIMBO LA UYOLE MBEYA AFUNGUKA
- MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.
- Kitabu cha Ndoto ya Yatima Chazinduliwa Rasmi na Dkt. Tulia
- HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA YADHAMIRIA KUONDOA ULEMAVU WA KUONA NA KUBORESHA AFYA YA MACHO SONGWE
- MASACHE KASAKA ALIVYOMNADI BAHATI NDINGO UZINDUZI WA KAMPENI JIMBO LA MBARALI
- Baba Aibuka Na Kauli Kali Baada ya Mtoto Wake Kwanza Kumkana Mbele ya Watu
- DANIEL CHONGOLO: ”BAHATI NDINGO NDIYE ALIYENIFUNDISHA MISAMIATI YA GN MIGOGORO YA ARDHI MBARALI”