Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kupambana na Kuzuia Dawa za Kulevya Aprili 19, 2025 limefanikiwa kukamata Gari yenye namba za usajili T833EDN aina ya Mitsubishi Canter ikiwa imebeba shehena ya Dawa za Kulevya aina ya Bhangi mafurushi 67 ikitokea nchi jirani ya Malawi.
Trending
- Hadi nilishindwa kujiamini nikiwa faragha!
- Rais Samia Ahoji Kilio cha Vijana: “Walikuwa Wanaidai Haki Ipi?”
- Kijana Golden Kidumba (DON. G) Awagusa Watoto wa Mitaani kwa Chakula na Mavazi
- Biashara ya mbao ilivyobadili maisha yake ikimpa utajiri
- Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu
- Safari ya kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa Zuhura iliyofanikiwa
- Kutoka kusota hadi usukani wenye utajiri
- Ikulu Dodoma: Rais Samia Azungumza na Mawaziri Baada ya Kuwaapisha

