Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson ametuma salamu za pole kwa Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Mhashamu Askofu Wolfgang Pisa, pamoja na waumini wote wa Kanisa Katoliki kufuatia kifo cha Kiongozi Mkuu wa Kanisa hilo, Papa Francis. Dkt. Tulia amesema taifa linaungana na waumini wa Kanisa Katoliki katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.
Trending
- Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya Mhe: Dormohamed: Dkt. Tulia ni Mbunge wa kuigwa
- MBEYAUWSA Yaanza Upya na Wateja wa Mwasenkwa Baada ya Uzinduzi wa Mradi wa Maji
- “Dkt. Tulia Atoa Salamu za Pole kwa Wakatoliki Kufuatia Kifo cha Papa Francis”
- Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson Azindua Mradi wa kisima cha Maji cha Mwansenkwa
- WAKAZI JIJI LA MBEYA WATAJA SIFA ZA MADIWANI WANAOHITAJIKA NA MBUNGE WAO UCHAGUZI OKTOBA 2O25
- Polisi Mbeya Wakamata Gari la Bhangi Mafurushi 67 Likiwa Linatoka Malawi
- Dkt. Tulia Azindua Ambulansi Mpya kwa Kituo cha Afya Mwakibete ili Kuboresha Huduma za Afya Mbeya