Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson ametuma salamu za pole kwa Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Mhashamu Askofu Wolfgang Pisa, pamoja na waumini wote wa Kanisa Katoliki kufuatia kifo cha Kiongozi Mkuu wa Kanisa hilo, Papa Francis. Dkt. Tulia amesema taifa linaungana na waumini wa Kanisa Katoliki katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.
Trending
- Mvua na upepo mkali waathiri zaidi ya kaya 200 Mbeya
- TISEZA YASIFIA UWEKEZAJI WA BILIONI 8 WA BABITO TRADING COMPANY MBEYA
- AB YAPENDEKEZA MAPITIO MAKUBWA KULINDA BLOGA NA WATENGENEZA MAUDHUI
- SHEIKH WA MKOA MBEYA ATOA UJUMBE KWA WAISLAMU KUELEKEA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
- EFTA YACHOCHEA UCHUMI KWA HATI FUNGANI YA BILIONI 50
- Kanisa la Moravian Tanzania Lamkabidhi Yona Sonelo Tuzo Maalum Baada ya Shahada ya Heshima Australia
- Beno Malisa Azindua Tawi la Strategies Insurance Mbeya, Akaribisha Wawekezaji
- RC Malisa Afungua Mafunzo ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi Mbeya

