Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson ametuma salamu za pole kwa Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Mhashamu Askofu Wolfgang Pisa, pamoja na waumini wote wa Kanisa Katoliki kufuatia kifo cha Kiongozi Mkuu wa Kanisa hilo, Papa Francis. Dkt. Tulia amesema taifa linaungana na waumini wa Kanisa Katoliki katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.
Trending
- KAULI YA SAMIA YAWASHTUA WENGI: MWANAMKE MZURI HUPIGANIWA
- Hakukata tamaa hadi alipopata mtoto wake kwa njia hii
- SAMIA: VIONGOZI WA DINI MSIJIVISHE MAJOHO KUONGOZA NCHI – AWANYOOSHEA KIDOLE TEC
- Yard yake ilianza kujaza wateja kutoka pande zote
- RAIS SAMIA AFUNGUKA MAZITO MBELE YA WAZEE!
- Mkutano mkuu Simba vurugu tupu
- KANISA LA EAGT BETHELI GOMBE UYOLE MBEYA NA UJUMBE MZITO KATIKA KUCHANGIA UJENZI WA KANISA LAO
- DKT TULIA HAPOI WALA HABOI AENDELEA KUSAMBAZA UPENDO KWA WAPIGA KURA WAKE KATA YA ILEMI.*

