Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson ametuma salamu za pole kwa Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Mhashamu Askofu Wolfgang Pisa, pamoja na waumini wote wa Kanisa Katoliki kufuatia kifo cha Kiongozi Mkuu wa Kanisa hilo, Papa Francis. Dkt. Tulia amesema taifa linaungana na waumini wa Kanisa Katoliki katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.
Trending
- Ndoa Yangu Ilikuwa Karibu Kuvunjika Lakini Siri Hii ya Mwisho Iliokoa Mapenzi Yetu
- Walidhani Ni Bahati Tu Lakini Ukweli Uliofichuka Ulishangaza Kila Mtu
- NAIBU WAZIRI MAHUNDI AWASIHI WANAFUNZI TENGERU, KUTUMIA ELIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA JAMII
- Aliiba Kila Siku Bila Kuonekana Siku Moja Hatua Moja Ilimrudisha Mwenyewe Akiwa Ametikisika
- Nilianza Kudhoofika Bila Sababu Nilipogundua Nilikuwa Nachawiwa, Njia Hii Ilinilinda Milele
- Vibaka Wamvamia Mwandishi Rashid Mkwinda wa Mbeya Yetu Ajeruhiwa Vibaya Kichwani na Kulazwa
- Boss Amtesa Mfanyikazi Bila Kujua Ndiye Mke Anayetakiwa Kumuoa, Yaliyojiri Ni Haya
- Mama Wa Kambo Apata Usaidizi Wa Kudumu Baada Ya Kupata Mateso Kutoka Kwa Mabinti Wakorofi

