Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Waziri Mkuu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima kufunguliwa

November 24, 2025

Kutoka hasara hadi faida katika biashara, mbinu ni hii

November 24, 2025

Serie A yampa fedha baada ya kubaini mbinu bora ya betting

November 24, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Waziri Mkuu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima kufunguliwa
  • Kutoka hasara hadi faida katika biashara, mbinu ni hii
  • Serie A yampa fedha baada ya kubaini mbinu bora ya betting
  • Hatua moja muhimu ya kufanikiwa kibiashara
  • MSIGWA Atoa Onyo kwa Vyombo vya Habari vya Nje: Zingatia Maadili
  • Namna ya kuimarisha ustawi wa ndoa yako
  • RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA
  • Rungwe Wasaini Mkataba wa Bilioni 2.8 Kujenga Soko la Kisasa la Ndizi
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป Mashindano ya Riadha ya Betika Mbeya Tulia Marathon 2025 Yametamatika kwa Mafanikio Makubwa
Habari za Kitaifa

Mashindano ya Riadha ya Betika Mbeya Tulia Marathon 2025 Yametamatika kwa Mafanikio Makubwa

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMay 10, 2025No Comments13 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mashindano ya Riadha ya Betika Mbeya Tulia Marathon yametamatika leo kwa mafanikio makubwa katika Uwanja wa Sokoine, Mbeya Mjini, yakiwashirikisha wanariadha zaidi ya 2,000 kutoka ndani na nje ya Tanzania. Washiriki hao walichuana katika mbio fupi (za ndani ya uwanja) na mbio ndefu (Full Marathon), huku wakionesha viwango vya juu vya ushindani na nidhamu ya hali ya juu.

Mgeni rasmi wa mashindano hayo alikuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, ambaye aliipongeza Taasisi ya Tulia Trust, chini ya uongozi mahiri wa Mkurugenzi wake ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa IPU, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, kwa kufanikisha kwa kiwango cha juu mashindano hayo.

Dkt. Biteko amesema kuwa mashindano hayo si tu yanakuza vipaji vya michezo bali pia ni kichocheo kikubwa cha maendeleo ya kijamii, hasa katika sekta za elimu na afya kupitia mchango wa Tulia Trust.

Kaulimbiu ya mwaka huu, “Mbeya Tulia Marathon 2025: Tunaboresha Miundombinu ya Elimu na Afya”, imeendelea kuonyesha dhamira ya kweli ya Spika Dkt. Tulia Ackson katika kuleta maendeleo ya watu kupitia michezo na taasisi yake ya Tulia Trust.

Tunampongeza kwa dhati Mhe. Spika Dkt. Tulia Ackson kwa uongozi wake wa mfano, uzalendo usioyumba, na moyo wake wa kujitolea kwa ajili ya jamii. Ameendelea kuwa mfano wa kuigwa katika kuchangia maendeleo ya nchi kwa vitendo, na juhudi zake kupitia Mbeya Tulia Marathon zinaendelea kugusa maisha ya Watanzania wengi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA

November 22, 2025

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUZUIA HATI YAKE

November 21, 2025

VIONGOZI WA BARAZA KUU LA WAISLAMU BAKWATA MKOA WA MBEYA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI SHULE YA SEKONDARI YA KIISLAMU JIJINI MBEYA.

November 9, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025232

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Video Mpya

Waziri Mkuu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima kufunguliwa

By Mbeya YetuNovember 24, 20251

Kutoka hasara hadi faida katika biashara, mbinu ni hii

November 24, 2025

Serie A yampa fedha baada ya kubaini mbinu bora ya betting

November 24, 2025

Hatua moja muhimu ya kufanikiwa kibiashara

November 23, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Waziri Mkuu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima kufunguliwa

November 24, 2025

Kutoka hasara hadi faida katika biashara, mbinu ni hii

November 24, 2025

Serie A yampa fedha baada ya kubaini mbinu bora ya betting

November 24, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025232

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.