Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilikuwa naishi kwenye banda la mabati sasa majirani wanapiga picha kwenye nyumba yangu ya ghorofa

July 31, 2025

“MAHUNDI: Uongozi Wangu ni kwa Wanawake wa Mbeya – Asanteni kwa kuniamini tena

July 31, 2025

“SUMA FYANDOMO: Nitajifunza na Kushirikiana Nanyi! Aibuka na kura 1152.

July 31, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilikuwa naishi kwenye banda la mabati sasa majirani wanapiga picha kwenye nyumba yangu ya ghorofa
  • “MAHUNDI: Uongozi Wangu ni kwa Wanawake wa Mbeya – Asanteni kwa kuniamini tena
  • “SUMA FYANDOMO: Nitajifunza na Kushirikiana Nanyi! Aibuka na kura 1152.
  • Nilivyoweza kurejesha heshima ndani ya ndoa yangu
  • KUMEKUCHA!! WATEULE SITA UBUNGE CCM JIMBO MBEYA MJINI WAANZA KUUZA SERA ZAO KWA WAJUMBE,KATIKA KATA
  • Niliwahi kuandikiwa wasifu wa kifo Hospitalini ila leo nawambia siri ya kupona
  • HUJUMA NYINGINE KUBWA WIZI DHIDI YA MAJI MAMLAKA YA MAJI MBEYA
  • Nilipigwa na butwaa kuona jina lake kwenye hati ya shamba la Sugar Daddy
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Daraja la Masagi Wilayani Iramba kufungua mawasiliano vijijini
Habari za Kitaifa

Daraja la Masagi Wilayani Iramba kufungua mawasiliano vijijini

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJuly 24, 2025Updated:July 24, 2025No Comments2 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Iramba – Singida

Imeelezwa kuwa kukamilika kwa daraja la Masagi linalojengwa katika barabara ya Kibirigi-Masagi kutasaidia kuunganisha vijiji vya Kibirigi, Masagi na Tyeme katika Kata ya Mtoa, Wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Hayo yameelezwa na Meneja wa TARURA Mkoa wa Singida Mhandisi Ibrahim Kibasa wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa Mradi huo mbele ya Kamati ya Ukaguzi ya TARURA inayofanya ziara ya Ukaguzi wa miradi ya ujenzi wa Miundombinu ya barabara mkoani humo.

“Vijiji vya Kibirigi, Masagi na Tyeme vinajishughulisha na shughuli za kilimo hususani pamba, alizeti, dengu, mahindi pamoja na ufugaji, hivyo kukosekana kwa daraja katika Mto sekenke linapojengwa daraja hilo ilikuwa ni kikwazo kwao katika kuyafikia masoko ya mazao yao na kurudisha nyuma jitihada za kujiletea maendeleo”. amefafanua Mhandisi Kibasa.

Kwa mujibu wa Mhandisi Kibasa kukamilika kwa Mradi huo utachochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika vijiji hivyo na kuchangia ustawi wa maendeleo ya Wilaya na Taifa kwa ujumla.

Mhandisi Kibasa ameileza Kamati hiyo kuwa licha ya changamoto ya mvua iliyojitokeza katika hatua ya utekelezaji, mradi huo umefikia hatua ya kuridhisha na matarajio yake ni kuwa utakamilika ndani ya muda uliopangwa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi ya TARURA CPA Ally Rashid amemtaka Meneja wa TARURA Mkoa wa Singida na timu yake kuendelea kumsimamia Mkandarasi anayetekeleza Mradi huo kuzingatia ubora sambamba na kuyafanyia kazi mapungufu kadhaa waliyoyabaini wakati wa Ukaguzi wao katika Mradi huo.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

VYAMA VYA SIASA VYAHAKIKISHIWA UWANJA SAWA UCHAGUZI MKUU 2025

July 27, 2025

WATANZANIA MILIONI 37 KUPIGA KURA TAREHE 29 OKTOBA, 2025

July 26, 2025

Waziri Aweso Aagiza Mabomba Yote ya Mto Kiwira Yatengenezwe Mara Moja

July 24, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024177

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202485

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202580

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 202576
Don't Miss
Uncategorized

Nilikuwa naishi kwenye banda la mabati sasa majirani wanapiga picha kwenye nyumba yangu ya ghorofa

By Mbeya YetuJuly 31, 20250

Wakati wengine walikuwa wanazungumzia ndoto zao za kuishi kwenye majumba ya kifahari, mimi nilikuwa nalala…

“MAHUNDI: Uongozi Wangu ni kwa Wanawake wa Mbeya – Asanteni kwa kuniamini tena

July 31, 2025

“SUMA FYANDOMO: Nitajifunza na Kushirikiana Nanyi! Aibuka na kura 1152.

July 31, 2025

Nilivyoweza kurejesha heshima ndani ya ndoa yangu

July 30, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilikuwa naishi kwenye banda la mabati sasa majirani wanapiga picha kwenye nyumba yangu ya ghorofa

July 31, 2025

“MAHUNDI: Uongozi Wangu ni kwa Wanawake wa Mbeya – Asanteni kwa kuniamini tena

July 31, 2025

“SUMA FYANDOMO: Nitajifunza na Kushirikiana Nanyi! Aibuka na kura 1152.

July 31, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024177

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202485

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202580
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.