Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

TCRA na TBN Wajipanga Kuhakikisha Habari za Uchaguzi Zinaripotiwa kwa Usahihi

August 10, 2025

Mwanamke Acharuka Kulia Mtaani Baada Ya Kuvamiwa Na Nyuki Wakiwa Na Mume Wa Mtu Lodging

August 10, 2025

TUME HURU YA UCHAGUZI YAMKABIDHI FOMU MGOMBEA URAIS AAFP

August 10, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • TCRA na TBN Wajipanga Kuhakikisha Habari za Uchaguzi Zinaripotiwa kwa Usahihi
  • Mwanamke Acharuka Kulia Mtaani Baada Ya Kuvamiwa Na Nyuki Wakiwa Na Mume Wa Mtu Lodging
  • TUME HURU YA UCHAGUZI YAMKABIDHI FOMU MGOMBEA URAIS AAFP
  • Nyuki wenye hasira wawaweka wezi chini ya ulinzi wa kiroho mpaka mmiliki wa mali awasili kutoka safari ya mazishi
  • TUME YAKABIDHI FOMU ZA UTEUZI KWA MGOMBEA WA KITI CHA RAIS WA CHAMA CHA MAPINDUZI
  • PRESS CONFERENCE — Leo Agosti 8, 2025 kuelekea mechi ya TANZANIA vs MADAGASCAR itakayochezwa kesho,
  • TUME YATANGAZA RATIBA YA VYAMA KUCHUKUA FOMU ZA WAGOMBEA WA URAIS
  • Andika jina la ex wake mwili mzima akisema hakubali kumpoteza kamwe!
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » TUME YAKABIDHI FOMU ZA UTEUZI KWA MGOMBEA WA KITI CHA RAIS WA CHAMA CHA MAPINDUZI
Habari za Kitaifa

TUME YAKABIDHI FOMU ZA UTEUZI KWA MGOMBEA WA KITI CHA RAIS WA CHAMA CHA MAPINDUZI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuAugust 9, 2025No Comments8 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mgombea huyo wa CCM alichukua fomu hizo leo Agosti 9,2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu. 
Mgombea wa Kiti cha Rais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mgombea Mwenza wake Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi wakionesha mkoba wa fomu za kuomba kuteuliwa na Tume kuwania Kiti cha Rais na Makamu wa Rais katika uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.
Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu baada ya kupokea fomu.
Mgombea Mwenza wa Chama cha Mapinduzi, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akisaini kitabu baada ya kupokea fomu.

 

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ndg. Kailima Ramadhani akisoma barua kutoka Chama cha Mapinduzi inayowatambulisha wagombea wa chama hicho.

 

Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk akifuatilia tukio la utoaji fomu za uteuzi.

 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele 
 

 

 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele  akitoa mwongozo wa nyaraka ambazo Tume inazikabidhi kwa mgombea. 

 

 

 

Sehemu ya Wajumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi wakiwa katika zoezi la utoaji fomu za uteuzi. 

 

 

 

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TCRA na TBN Wajipanga Kuhakikisha Habari za Uchaguzi Zinaripotiwa kwa Usahihi

August 10, 2025

TUME HURU YA UCHAGUZI YAMKABIDHI FOMU MGOMBEA URAIS AAFP

August 10, 2025

MANAIBU MAKATIBU WAKUU OR-TAMISEMI WATEMBELEA BANDA LA TARURA

August 8, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024180

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025167

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202486

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202581
Don't Miss
Habari za Kitaifa

TCRA na TBN Wajipanga Kuhakikisha Habari za Uchaguzi Zinaripotiwa kwa Usahihi

By Mbeya YetuAugust 10, 20250

Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeandaa mafunzo maalumu kwa Mtandao wa Mabloga…

Mwanamke Acharuka Kulia Mtaani Baada Ya Kuvamiwa Na Nyuki Wakiwa Na Mume Wa Mtu Lodging

August 10, 2025

TUME HURU YA UCHAGUZI YAMKABIDHI FOMU MGOMBEA URAIS AAFP

August 10, 2025

Nyuki wenye hasira wawaweka wezi chini ya ulinzi wa kiroho mpaka mmiliki wa mali awasili kutoka safari ya mazishi

August 9, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

TCRA na TBN Wajipanga Kuhakikisha Habari za Uchaguzi Zinaripotiwa kwa Usahihi

August 10, 2025

Mwanamke Acharuka Kulia Mtaani Baada Ya Kuvamiwa Na Nyuki Wakiwa Na Mume Wa Mtu Lodging

August 10, 2025

TUME HURU YA UCHAGUZI YAMKABIDHI FOMU MGOMBEA URAIS AAFP

August 10, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024180

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025167

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202486
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.