Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Walimdharau Kwa Miaka Kwa Sababu ya Umaskini Leo Anasaini Contracts za Serikali Zenye Thamani ya Mabilioni

December 19, 2025

This time I give steve a link (no mid-stream ads)

December 19, 2025

What is Charlie Kirk’s Security Man Brian Harpole Twisting and Squeezing at the Big Bang? – #33

December 18, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Walimdharau Kwa Miaka Kwa Sababu ya Umaskini Leo Anasaini Contracts za Serikali Zenye Thamani ya Mabilioni
  • This time I give steve a link (no mid-stream ads)
  • What is Charlie Kirk’s Security Man Brian Harpole Twisting and Squeezing at the Big Bang? – #33
  • Aliachwa na Mpenzi Wake Siku Moja Kabla ya Harusi Miezi Michache Baadaye Dunia Ilimshangaa
  • BREAKING! MIT SCIENTIST SUSPECT MANHUNT , KASH INTERVIEW, TRUMP ADDRESS, NEWSOM & REAGAN, BLACK TV
  • View the subsequent content through the homepage link#usa #shortsvideo #newyork
  • MAKALA: SHUHUDIA KILELE CHA MAHAFALI YA 13 TAASISI YA UHASIBU TANZANIA (TIA) KAMPASI YA MBEYA
  • DKT. TULIA ATOA POLE, AIPONGEZA SERIKALI KWA KUSIMAMIA CHANGAMOTO MBEYA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI
Habari za Kitaifa

DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuSeptember 14, 2025No Comments15 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uyole kupitia Chama cha Mapinduzi ( CCM) Dkt. Tulia Ackson, amewaomba Wananchi wa Jimbo hilo kumchagua kwa kura nyingi kwa nafasi yake ya Ubunge na kura nyingi kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi ya Urais katika Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 ili wakaiendeleze kazi nzuri waliyoianza kwa kuboresha sekta mbalimbali za kijamii.

Akizungumza mbele ya Wananchi wa Jimbo la hilo wakati wa ufunguzi rasmi wa kampeni zake leo tarehe 13 Septemba, 2025 katika Uwanja wa Shule ya msingi Hasanga, Dkt. Tulia amesema kuwa katika kuhakikisha azma hiyo inatekelezeka, kwanza kabisa atahakikisha anafanikisha upatikanaji wa Halmashauri ya Uyole ikiwemo ujenzi wa jengo hilo ambayo itawezesha kukimbiza kasi ya maendeleo ya Jimbo hilo.

Sambamba na hayo, amebainisha vipaumbele vyake atakapopata nafasi ya kuwa Mbunge wa Jimbo hilo jipya ni kuhakikisha anaboresha miundombinu ya Barabara zikiwemo Barabara za Mitaa kujengwa kwa Kiwango Cha lami, Ujenzi wa Vivuko na Madaraja Kwenye kata zote pamoja na kuendelea kwa ujenzi wa Barabara ya njia nne Uyole hadi Ifisi inakamilika kwa wakati.

Vipaumbele Vingine ni Kuboreha Miundombinu Katika sekta ya Elimu ikiwemo Ukarabati wa Madarasa na Kupandisha hadhi shule za sekondari Kuwa Kidato cha tano na sita, Kukamilisha Mradi wa Maji wa mto Kiwira ili kuondoa kero ya upatikanaji wa Maji, Kuboresha huduma za Afya na kuondoa kero wanazozipata wakinamama wajawazito wakati wa Kujifungua na Kununua Magari ya Kubebea Wagonjwa.

Katika hatua Nyingine, Dkt .Tulia amesema kuwa atahakikisha Umeme unapatikana katika Mitaa Yote ya Jimbo la Uyole, bila kusahau sekta ya kilimo atahakikisha wakulima Wanapata Pembejeo Kwa Wakati na kwa bei nafuu. Pia ataweka msukumo kwenye Ujenzi wa viwanja vya Maonyesho ya Nanene na Soko la Kimataifa Ndani ya viwanja hivyo, Kuimarisha sekta ya michezo hasa mchezo wa ngumi.

Ufunguzi huo wa Kampeni za jimbo la Uyole zinazokwenda na kaulimbiu ya “Uyole Kazi” ikilenga Kufanya kazi Kwa Maarifa na Nguvu Zaidi zimehudhuriwa na wagombea udiwani wote wa kata 13 pamoja na Baadhi ya wagombea wa nafasi za ubunge Mkoa wa Mbeya.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

WAZIRI MKUU AKAGUA ATHARI KWENYE MAJENGO YA MAMLAKA YA MJI MDOGO KYELA

December 18, 2025

Naibu Waziri wa Maji Mathew: Aweka Mkazo Kwenye Miradi ya Maji Mbeya na Chunya

December 16, 2025

MAHAFALI YA 23 YA TAASISI YA UHASIBU TIA KAMPASI YA MBEYA, RC MALISA AWAALIKA WAWEKEZAJI MKOANI MBEYA.

December 12, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025264

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025237

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024209

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025131
Don't Miss
Uncategorized

Walimdharau Kwa Miaka Kwa Sababu ya Umaskini Leo Anasaini Contracts za Serikali Zenye Thamani ya Mabilioni

By Mbeya YetuDecember 19, 20251

Nilizoea kudharauliwa. Kwa miaka mingi, jina langu lilikuwa likitajwa sambamba na umaskini, kushindwa, na ndoto…

This time I give steve a link (no mid-stream ads)

December 19, 2025

What is Charlie Kirk’s Security Man Brian Harpole Twisting and Squeezing at the Big Bang? – #33

December 18, 2025

Aliachwa na Mpenzi Wake Siku Moja Kabla ya Harusi Miezi Michache Baadaye Dunia Ilimshangaa

December 18, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Walimdharau Kwa Miaka Kwa Sababu ya Umaskini Leo Anasaini Contracts za Serikali Zenye Thamani ya Mabilioni

December 19, 2025

This time I give steve a link (no mid-stream ads)

December 19, 2025

What is Charlie Kirk’s Security Man Brian Harpole Twisting and Squeezing at the Big Bang? – #33

December 18, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025264

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025237

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024209
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.