Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA

November 22, 2025

Safari Kuelekea Furaha ya Ndoa Iliyokosekana Kwa Muda Mrefu

November 22, 2025

Badili upepo wa Biashara Yako Hadi Mafanikio

November 22, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA
  • Safari Kuelekea Furaha ya Ndoa Iliyokosekana Kwa Muda Mrefu
  • Badili upepo wa Biashara Yako Hadi Mafanikio
  • Watumishi wazembe hawatakuwa na nafasi-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba
  • Dkt. Mwigulu: “Mabasi ya Esther Yamechomwa Wakidhani Ni Yangu”
  • Mama Dkt. Samia Atua Arusha atoa neno
  • Mbinu ya kupata faida katika biashara ya samaki, uvuvi
  • WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUZUIA HATI YAKE
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA
Habari za Kitaifa

RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuNovember 22, 2025No Comments3 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe imezindua rasmi ujenzi wa Soko la Kisasa la Ndizi litakalogharimu Sh Bilioni 2.8, hatua inayotajwa kuwa mabadiliko makubwa katika sekta ya kilimo na masoko ya mazao wilayani humo.

Akizungumza wakati wa utiaji saini wa mkataba huo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Bw. Renatus Mchau, amesema Rungwe imechukua hatua ya kihistoria baada ya wananchi kusubiri kwa muda mrefu soko la uhakika la kuuza zao kuu la ndizi—zao ambalo limekuwa mhimili wa uchumi wa wilaya pamoja na mazao mengine kama kahawa, kakao, parachichi na viazi.

Mchau amesema soko la sasa, hususan la Kiwira, halikuwa na mazingira rafiki, jambo lililosababisha usumbufu kwa wakulima na wafanyabiashara, hasa nyakati za mvua. Kupitia maandalizi ya kitaalamu yaliyofanywa na wataalam wa halmashauri, ikiwemo feasibility study, usanifu (designing), tathmini ya athari za mazingira (EIA) na uchunguzi wa kijiolojia (geotech), Rungwe imefanikiwa kupata zaidi ya Sh Bilioni 1.8 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa awamu ya kwanza.

Ametoa shukrani kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kusikiliza kilio cha wananchi na kutoa maelekezo yaliyowezesha mradi huo kuanza kutekelezwa. Aidha, ameikumbusha kampuni ya Kagwa General Supplies Ltd, iliyopewa jukumu la ujenzi, kutekeleza mkataba kwa umakini, uzalendo na viwango vya juu vya ubora.

Kwa upande wa mkandarasi, Emmanuel Madaffa, Kaimu Mkurugenzi wa Kagwa General Supplies Ltd, ndiye aliyewakilisha kampuni hiyo katika hafla ya utiaji saini. Madaffa amesema watatekeleza mradi kwa weledi na uzalendo, wakiahidi “matokeo makubwa badala ya maneno,” huku wakisisitiza kuwa wanafahamu mazingira ya Rungwe na matarajio ya wananchi.

Ujenzi wa soko hilo unatarajiwa kukamilika ndani ya mwaka huu na mwakani, na linatarajiwa kuwa chachu ya kukuza uchumi wa wakulima na kuongeza thamani ya ndizi kutoka Rungwe kwenda katika mikoa mbalimbali na nchi jirani.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUZUIA HATI YAKE

November 21, 2025

VIONGOZI WA BARAZA KUU LA WAISLAMU BAKWATA MKOA WA MBEYA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI SHULE YA SEKONDARI YA KIISLAMU JIJINI MBEYA.

November 9, 2025

TUME YATANGAZA WABUNGE 115 WA VITI MAALUM

November 7, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025228

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Habari za Kitaifa

RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA

By Mbeya YetuNovember 22, 20253

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe imezindua rasmi ujenzi wa Soko la Kisasa la Ndizi litakalogharimu…

Safari Kuelekea Furaha ya Ndoa Iliyokosekana Kwa Muda Mrefu

November 22, 2025

Badili upepo wa Biashara Yako Hadi Mafanikio

November 22, 2025

Watumishi wazembe hawatakuwa na nafasi-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

November 22, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA

November 22, 2025

Safari Kuelekea Furaha ya Ndoa Iliyokosekana Kwa Muda Mrefu

November 22, 2025

Badili upepo wa Biashara Yako Hadi Mafanikio

November 22, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025228

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.