Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

WANANCHI HAI, FUONI , KATA TANO KUPIGA KURA KUCHAGUA WABUNGE NA MADIWANI KESHO

December 29, 2025

Mume Wangu Alikuwa Akipoteza Udhibiti Usiku na Kukojoa Kitandani Hatua Moja Ilinirejesha Amani Nyumbani

December 29, 2025

Dadangu Aliokota Mchanga Wa Nyayo Zangu Baada Ya Kuenda Kijijini Na Gari Mpya Lakini Maelezo Maalum Yaliniokoa Katika Hofu

December 29, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • WANANCHI HAI, FUONI , KATA TANO KUPIGA KURA KUCHAGUA WABUNGE NA MADIWANI KESHO
  • Mume Wangu Alikuwa Akipoteza Udhibiti Usiku na Kukojoa Kitandani Hatua Moja Ilinirejesha Amani Nyumbani
  • Dadangu Aliokota Mchanga Wa Nyayo Zangu Baada Ya Kuenda Kijijini Na Gari Mpya Lakini Maelezo Maalum Yaliniokoa Katika Hofu
  • Mhe. Mahundi: Wazee ni Tunu ya Taifa, Wastahili Kulindwa na Kuheshimiwa
  • NDELE MWASELELA AWATAKA WAANDISHI WA HABARI KUZINGATIA MAADILI, KUANDIKA HABARI ZA MAENDELEO NA KUWASEMEA WANANCHI
  • Sikuweza Kulala Usiku Juu Ya Ndoto Mbaya Lakini Sasa Nalala Kama Mtoto Baada Ya Kupata Suluhisho
  • Nilihisi Kuna Kitu Kinazuia Maendeleo Yangu—Baada ya Kufunguliwa, Mambo Yalisonga
  • Baada ya miaka minane ya chuki familia yetu ilipata amani ndani ya siku nne tu
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » WANANCHI HAI, FUONI , KATA TANO KUPIGA KURA KUCHAGUA WABUNGE NA MADIWANI KESHO
Habari za Kitaifa

WANANCHI HAI, FUONI , KATA TANO KUPIGA KURA KUCHAGUA WABUNGE NA MADIWANI KESHO

Mbeya YetuBy Mbeya YetuDecember 29, 2025Updated:December 29, 2025No Comments6 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email
Mwenyekiti wa Tume Huru
ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele leo Desemba 29,2025 amesoma
risala maalum kuhusu uchaguzi wa ubunge katika jimbo la Siha lililopo
Halmashauri ya Wilaya ya Siha, Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania Bara na Jimbo la
Fuoni lililopo Wilaya ya Magharibi B, Mkoa wa Mjini Magharibi, Tanzania
Zanzibar unaotaraji kufanyika Desemba 30,2025.

Jaji Mwambegele amesema,
uchaguzi mdogo huo utahusisha pia, kata tano za Tanzania Bara. Kata hizo ni;            Chamwino iliyopo katika Halmashauri
ya Manispaa ya Morogoro, Mkoa wa Morogoro; Mbagala Kuu iliyopo Halmashauri ya
Manispaa ya Temeke, Mkoa wa Dar es Salaam; na Nyakasungwa iliyopo katika Halmashauri
ya Wilaya ya Buchosa, Mkoa wa Mwanza.

Nyingine ni Kata ya Masoko
iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Mkoa wa Mbeya; na kata ya Ndono
iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Uyui, Mkoa wa Tabora.

Aidha, amesema jumla
ya wagombea 33 kutoka katika vyama vya siasa 17 wanawania nafasi wazi za ubunge
na udiwani katika maeneo niliyoyataja. Kati ya wagombea 33, wagombea 21 sawa na
asilimia 63.64 ni wanaume na wagombea 12 sawa na asilimia 36.36 ni wanawake.
Kwa namna ya pekee, Tume inavipongeza vyama vilivyoshiriki na wagombea
waliojitokeza kushiriki.

Jaji Mwambegele amesema,
jumla ya Wapiga Kura 218,024 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga
Kura watashiriki katika uchaguzi huo na jumla ya vituo 556 vya Kupigia Kura
vitatumika.

“Natumia fursa hii
kuvikumbusha Vyama vya Siasa vinavyoshiriki uchaguzi kesho tarehe 30 Desemba,
2025 kuzingatia wajibu wao wa kuweka mawakala katika vituo vyote vya zoezi la kupiga,
kuhesabu na kujumlishia kura. Wasimamizi wa uchaguzi katika Majimbo na Kata
husika, wamekamilisha taratibu zinazoweka mazingira yanayowawezesha mawakala wa
vyama vya siasa kufuatilia mchakato mzima wa uchaguzi,”alisema Jaji Mwambegele.

Amesema, mawakala
hao, wanawajibika katika kulinda maslahi ya vyama na wagombea wao. Hivyo,
wanapaswa kuzingatia Sheria, Kanuni, taratibu za Uchaguzi na maelekezo ya Tume
katika utekelezaji wa majukumu yao vituoni.

 

 

 

 

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

NDELE MWASELELA AWATAKA WAANDISHI WA HABARI KUZINGATIA MAADILI, KUANDIKA HABARI ZA MAENDELEO NA KUWASEMEA WANANCHI

December 29, 2025

MH. MAHUNDI AWAHIMIZA VIJANA KUISHI KWA MISINSI YA UWAJIBIKAJI NA UTU

December 23, 2025

DKT. TULIA ACKSON AANZA ZOEZI LA KUWAFIKIA KAYA ZENYE UHITAJI ZAIDI UYOLE, KAYA 130 ZANUFAIKA KUELEKEA SIKUKUU

December 21, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025276

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025238

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024212

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025131
Don't Miss

WANANCHI HAI, FUONI , KATA TANO KUPIGA KURA KUCHAGUA WABUNGE NA MADIWANI KESHO

By Mbeya YetuDecember 29, 20256

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs Mwambegele leo…

Mume Wangu Alikuwa Akipoteza Udhibiti Usiku na Kukojoa Kitandani Hatua Moja Ilinirejesha Amani Nyumbani

December 29, 2025

Dadangu Aliokota Mchanga Wa Nyayo Zangu Baada Ya Kuenda Kijijini Na Gari Mpya Lakini Maelezo Maalum Yaliniokoa Katika Hofu

December 29, 2025

Mhe. Mahundi: Wazee ni Tunu ya Taifa, Wastahili Kulindwa na Kuheshimiwa

December 29, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

WANANCHI HAI, FUONI , KATA TANO KUPIGA KURA KUCHAGUA WABUNGE NA MADIWANI KESHO

December 29, 2025

Mume Wangu Alikuwa Akipoteza Udhibiti Usiku na Kukojoa Kitandani Hatua Moja Ilinirejesha Amani Nyumbani

December 29, 2025

Dadangu Aliokota Mchanga Wa Nyayo Zangu Baada Ya Kuenda Kijijini Na Gari Mpya Lakini Maelezo Maalum Yaliniokoa Katika Hofu

December 29, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025276

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025238

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024212
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.