Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilivyopata Amani Baada ya Miaka ya Kukosa Usingizi na Huzuni Usiku Kila Usiku

January 8, 2026

Nilivyopata Furaha Baada ya Kuachana na Marafiki Walionivuta Chini

January 8, 2026

Child Support Tanzania Yashirikiana na Madiwani Kuimarisha Elimu Jumuishi Mbeya

January 8, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilivyopata Amani Baada ya Miaka ya Kukosa Usingizi na Huzuni Usiku Kila Usiku
  • Nilivyopata Furaha Baada ya Kuachana na Marafiki Walionivuta Chini
  • Child Support Tanzania Yashirikiana na Madiwani Kuimarisha Elimu Jumuishi Mbeya
  • Child Support Tanzania Yawawezesha Madiwani Mbeya Kuhusu Elimu Jumuishi
  • MAKALA: PARADISE MISSION BUSTANI YA TAALUMA KWA WANAFUNZI NCHINI NDELE MWASELELA AONESHA UWEZO WAKE
  • Nilivyorejesha Uhuru Wangu Kitandani Baada ya Miaka ya Kuishi Bila Hamu Wala Hisia
  • Nilivyopambana na Baby Mama Aliyenigeuza Mfadhili Pekee Bila Haki, Mpaka Hatimaye Nikaweza Kuwa Karibu na Watoto Wangu Tena
  • NMB Yaimarisha Ushirikiano na Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป Child Support Tanzania Yawawezesha Madiwani Mbeya Kuhusu Elimu Jumuishi
Habari za Kitaifa

Child Support Tanzania Yawawezesha Madiwani Mbeya Kuhusu Elimu Jumuishi

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJanuary 8, 2026No Comments10 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Child Support Tanzania imeendesha kikao na madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya kupitia Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii kwa lengo la kuimarisha utekelezaji wa Elimu Jumuishi, hususan kwa watoto na watu wenye ulemavu.

Akizungumza katika kikao hicho, Mkurugenzi Mtendaji wa Child Support Tanzania, Bi. Noela Msuya Shawa, amesema kupitia mradi wa Sauti Zetu unaofadhiliwa na Oxfam na kutekelezwa kwa ushirikiano na AkiElimu, madiwani wamepatiwa mafunzo kuhusu Mpango Mkakati wa Taifa wa Elimu Jumuishi, miongozo yake na wajibu wao katika kuhakikisha utekelezaji wake kwa ubora katika shule za kata zao.

Kwa upande wao, madiwani wamesema mafunzo hayo yamewajengea uelewa mpana kuhusu masuala ya watoto na watu wenye ulemavu. Mh. Juma Samson Simbeange, Diwani wa Kata ya Nsoho, amesema atahakikisha masuala ya watoto yanapewa kipaumbele wakati wa kupitisha bajeti za Halmashauri ili kuwasaidia watoto wanaohitaji msaada maalum.

Naye Mh. Clemence James Mwandemba, Diwani wa Kata ya Nsalaga, amesema elimu hiyo itawasaidia viongozi kushiriki kikamilifu katika upangaji wa bajeti kwa kuzingatia mahitaji ya watu wenye ulemavu, ikiwemo mikopo ya asilimia kumi inayotengwa kwa makundi maalum, pamoja na kuhamasisha jamii kutowaficha watu wenye ulemavu bali kuwapeleka kwenye taasisi zinazotoa msaada na elimu.

Child Support Tanzania imepongeza dhamira ya madiwani na kusisitiza kuwa ushirikiano kati ya taasisi na viongozi wa serikali za mitaa ni muhimu katika kufanikisha elimu jumuishi na kujenga jamii isiyobagua.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

NMB Yaimarisha Ushirikiano na Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya

January 7, 2026

MHE. MAHUNDI AWASISITIZA WATOTO WA SHULE YA MAADILISHO IRAMBO KUBADILIKA NA KUJENGA MUSTAKABALI MWEMA

January 6, 2026

NAIBU WAZIRI MAHUNDI ASISITIZA UWAJIBIKAJI MIRADI VYUO VYA MAENDELEO YA JAMII.

January 5, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025297

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025239

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024213

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025132
Don't Miss
Uncategorized

Nilivyopata Amani Baada ya Miaka ya Kukosa Usingizi na Huzuni Usiku Kila Usiku

By Mbeya YetuJanuary 8, 20262

Kwa muda wa miaka mitano, kila usiku ulikuwa ni vita. Nililala nikiwa na hofu, mawazo…

Nilivyopata Furaha Baada ya Kuachana na Marafiki Walionivuta Chini

January 8, 2026

Child Support Tanzania Yashirikiana na Madiwani Kuimarisha Elimu Jumuishi Mbeya

January 8, 2026

Child Support Tanzania Yawawezesha Madiwani Mbeya Kuhusu Elimu Jumuishi

January 8, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilivyopata Amani Baada ya Miaka ya Kukosa Usingizi na Huzuni Usiku Kila Usiku

January 8, 2026

Nilivyopata Furaha Baada ya Kuachana na Marafiki Walionivuta Chini

January 8, 2026

Child Support Tanzania Yashirikiana na Madiwani Kuimarisha Elimu Jumuishi Mbeya

January 8, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025297

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025239

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024213
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.