Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Mwalunenge Achangia Milioni 3 Baada ya Wanawake MZRH Kutoa Mashine ya EEG

March 7, 2026

Comfy Mum na TNCC Wawafariji Wakinamama Wodi ya Wanawake Hospitali ya Sinza

March 6, 2026

Mbunge CCM,wapinzani waimarisha umoja,wajadili maendeleo ya wana Mbeya

March 5, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Mwalunenge Achangia Milioni 3 Baada ya Wanawake MZRH Kutoa Mashine ya EEG
  • Comfy Mum na TNCC Wawafariji Wakinamama Wodi ya Wanawake Hospitali ya Sinza
  • Mbunge CCM,wapinzani waimarisha umoja,wajadili maendeleo ya wana Mbeya
  • Dkt. Tulia Aunga Mkono Ujenzi wa Barabara Bombambili kwa Mifuko 100 ya Saruji na tripu 10 za mawe
  • SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100
  • Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari
  • VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII
  • TAKUKURU MBEYA YAOKOA ZAIDI YA MILIONI 100, YAIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Mwalunenge Achangia Milioni 3 Baada ya Wanawake MZRH Kutoa Mashine ya EEG
Afya na Ustawi

Mwalunenge Achangia Milioni 3 Baada ya Wanawake MZRH Kutoa Mashine ya EEG

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 7, 2026No Comments7 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya na Mbunge, Patrick Mwalunenge, amepongeza juhudi za Jumuiya ya Wanawake wa Mbeya Zonal Referral Hospital (MZRH) kwa kutoa zawadi ya mashine ya kisasa ya kupima umeme wa kichwa (EEG) yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 67, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Samia Suluhu Hassan katika kuboresha huduma za afya nchini.

Akizungumza kama Mgeni Rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika hospitalini hapo, Mwalunenge alisema hatua ya wanawake hao ni mfano wa uzalendo na mshikamano katika kuunga mkono maendeleo ya sekta ya afya.

Amesema mchango huo unaonyesha namna ambavyo makundi ya kijamii yanaweza kushiriki moja kwa moja katika kuimarisha huduma za matibabu na kusaidia wananchi kupata huduma bora zaidi.

Katika kuunga mkono juhudi za umoja huo, Mwalunenge alichangia shilingi milioni 3 taslimu kwa ajili ya kuendeleza shughuli na miradi ya maendeleo ya jumuiya hiyo, huku akiahidi kuendelea kutoa ushirikiano wa hali na mali pale utakapohitajika.

Mashine hiyo ya EEG inatarajiwa kuboresha huduma za utambuzi wa magonjwa ya mfumo wa fahamu kwa wananchi wa kanda ya Nyanda za Juu Kusini na kupunguza changamoto ya wagonjwa kusafiri umbali mrefu kufuata huduma hiyo.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Dkt. Godlove Mbwanji, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, ashiriki kampeni ya kitaifa ya uwekezaji wa ndani.

February 18, 2026

TAASISI ZA PICTERUS AS NA GOAL 3 KUANZISHA TEKNOLOJIA YA KISASA YA KUPIMA MANJANO KWA WATOTO WACHANGA TANZANIA

January 28, 2026

MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.

December 8, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025363

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025141
Don't Miss
Afya na Ustawi

Mwalunenge Achangia Milioni 3 Baada ya Wanawake MZRH Kutoa Mashine ya EEG

By Mbeya YetuMarch 7, 20267

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya na Mbunge, Patrick Mwalunenge, amepongeza juhudi…

Comfy Mum na TNCC Wawafariji Wakinamama Wodi ya Wanawake Hospitali ya Sinza

March 6, 2026

Mbunge CCM,wapinzani waimarisha umoja,wajadili maendeleo ya wana Mbeya

March 5, 2026

Dkt. Tulia Aunga Mkono Ujenzi wa Barabara Bombambili kwa Mifuko 100 ya Saruji na tripu 10 za mawe

March 5, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Mwalunenge Achangia Milioni 3 Baada ya Wanawake MZRH Kutoa Mashine ya EEG

March 7, 2026

Comfy Mum na TNCC Wawafariji Wakinamama Wodi ya Wanawake Hospitali ya Sinza

March 6, 2026

Mbunge CCM,wapinzani waimarisha umoja,wajadili maendeleo ya wana Mbeya

March 5, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025363

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.