Author: Mbeya Yetu

Jina langu naitwa Sele mkazi wa Malindi nchini Kenya, mimi ni kijana wa umri miaka 25 nilikua na mwanamke nimezaa nae mtoto mmoja na nilikua nikiishi nae tangu ana mimba mpaka akajifungua mtoto wa kiume ambaye nilimpenda sana. Kinyume na matarajio yangu, baada ya muda tabia yake iliaanza kubadilika, akawa tena sio mtu wa kuambilika, wakati mwingine anaongea na wanaume mbele yangu, yaani ilikuwa dharau sana, hakuniheshimu kama mume wake. Hata kipindi ambacho nilipomuonya aliamua kufungusha na kukaondoka na kunitelekezea mtoto akiwa mdogo sana, cha kusikitisha kabisa sikufahamu alipoelekea. Sikukata tamaa na maisha, basi nikaendelea kupambana mwenyewe tu, mtoto nikaamua…

Read More

Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akikagua mafunzo kwa vitendo ya Waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya biometriki (BVR) kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya mkoani Mbeya leo Desemba 24, 2024. Mkoa wa Mbeya, Iringa na Halmashauri ya Mpwapwa Mkoani Dodoma inataraji kuanza uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Desemba 27 mwaka huu hadi Januari 02, 2025.    Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akikagua mafunzo kwa vitendo ya Waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya biometriki (BVR) kutoka Halmashauri ya Wilaya…

Read More

Naitwa Ally toka Mombasa Kenya, Mama alikuwa na tatizo la kupandisha majini, sijui mashetani na hii hali ikimkuta anakuwa siyo yeye tena, ni kama kuna nafsi nyingine huwa inamvaa, kwa waswahili wenzangu hili sio jambo ngeni. Hayo majini yake yakipanda huwa yanachafua hali ya hewa pale nyumbani balaa, ikafika kipindi yaani watu wote tunamkimbia na kuwaacha wale wazee ambao wanaweza kuongea nao, kuna namna wanafanya wenyewe na yanatulia. Unajua kwanini tulikuwa tunamkimbia?, basi hayo majini yake yakipanda ukajichanganya ukamkera basi atataja na ataongea siri zako zote. Hata zile ulizofanya gizani. Kama uliwahi kumsema vibaya atakwambia, kama baba alichepuka basi ataongea,…

Read More

Naitwa Hussein, mkazi wa Moshi Kilimanjaro, nakumbuka 2015 nilifiwa na Baba yangu, ilikuwa kwenye ajali ya gari, alifariki yeye na aliyekuwa mkewe baada ya kuachana na Mama yangu. Ilikuwa ni uzuni k Naitwa Hussein, mkazi wa Moshi Kilimanjaro, nakumbuka 2015 nilifiwa na Baba yangu, ilikuwa kwenye ajali ya gari, alifariki yeye na aliyekuwa mkewe baada ya kuachana na Mama yangu. Ilikuwa ni uzuni kwangu maana bado nilikuwa ndio nimemaliza Chuo Kikuu kwa hiyo bado nilikuwa sijaweza kuwa na maisha mazuri ya kusema naweza kujitemea moja kwa moja. Nakumbuka kuuna vitu mzee aliviacha, vingine aliandika kwa jina langu maana mimi nilikuwa…

Read More

Jina langu ni Januli, kijina wa miaka 24, naweza kusema katika maisha yangu yote siwezi kusahau tukio la kusingiziwa kuwa nimebaka na kufunguliwa kesi ya uongo Mahakamani. Kibaya zaidi nilikumbana na mkasa huo kipindi ambacho nina hali mbaya kimaisha, ni kipindi nilichokuwa nahitaji sana msaada kwa hali na mali kwa maana sikuwa na kazi yoyote ya kufanya. Sote tunakubaliana unapokua katika hali mbaya napambana sana huku na huku ili kupata namna ya kufanikiwa kimaisha maana ukiwa maskini hauthaminiki kabisa. Sasa alitokea mama mmoja ambae alikuwa na taasisi ya kukopesha vijana fedha za kufanyia biashara, kumbe yule mama alikua anatumia ile…

Read More

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linapenda kutoa taarifa ya kifo kilichohusisha
watu watano wa familia moja huko Wilaya ya Chunya.
Ni kwamba mnamo 29.12.2024 saa 8:30 usiku katika Kitongoji cha Nkangi
kilichopo Kijiji cha Isangawana, Kata ya Matwiga, Tarafa ya Kipembawe,
Wilaya ya Chunya, watu watano wa familia moja ya Masiganya Scania [39]
mfugaji, mkazi wa Nkangi walifariki dunia baada ya kupigwa radi kwenye
kambi ya kuchungia Ng'ombe wakati wakiwa wamelala.
Waliofariki katika tukio hilo ni Balaa Scania [28], Kulwa Luweja [17], Masele
Masaganya [16], Hema Tati [10] na Manangu Ngwisu [18] wote wakazi wa
Kijiji cha Nkangi. Aidha, katika tukio hilo watu wengine watano walijeruhiwa
ambao ni Gulu Scania [30], Manyenge Masaganya [13], Seni Solo [13],
Paskali Kalezi [16] na Huzuni Kalezi [19] wote wakazi wa Kijiji cha Nkangi.
Chanzo cha tukio hilo ni mvua kubwa iliyonyesha usiku ikiambatana na radi
hivyo kusababisha vifo vya watu watano na wengine watano kujeruhiwa.
Majeruhi walikimbizwa katika Kituo cha Afya Isangawana kwa matibabu na
walitibiwa na kuruhusiwa kwenda nyumbani baada ya hali zao kuwa nzuri.

Read More

Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akikagua mafunzo kwa vitendo ya Waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya biometriki (BVR) kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya mkoani Mbeya leo Desemba 24, 2024. Mkoa wa Mbeya, Iringa na Halmashauri ya Mpwapwa Mkoani Dodoma inataraji kuanza uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Desemba 27 mwaka huu hadi Januari 02, 2025.   Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akikagua mafunzo kwa vitendo ya Waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya biometriki (BVR) kutoka Halmashauri ya Wilaya…

Read More

Jina langu ni Jose, wakati naingia Chuo Kikuu nilikutana na mtu mmoja na kuniambia kuwa kwa sasa mambo ya mabadilika sana upande wa soko la ajira duniani kote, aliniambia wahitimu ni wengi na hawana kazi. Na kweli kila nilipokuwa natazama mtaani niliona vijana wenzangu ambao wamemaliza Chuo kwa miaka mingi lakini bado hawajaweza kuajiri iwe serikali au sektaba binafsi. Basi mtu mtu yule aliniambia wakati nikiwa Chuo nijaribu kufikiria kuhusu hilo na kuwa na mbinu ambayo itakayoniwezesha pindi nitakapomaliza Chuo nisikae mtaani kwa kipindi kirefu kama wenzangu. Katika kufanyia hilo utafiti mtandaoni na kusoma shuhuda za watu mbalimbali wakielezea jinsi…

Read More

Taasisi ya Maryprisca Women Impowerment Foundation(MWEF)inayoongozwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Mkurugenzi wa Taasisi Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi imetembelea Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya kwa ajili ya kutoa msaada kwa wazazi waliojifungua siku ya sikukuu ya Christmas.

Mwenyekiti wa Taasisi ya Maryprisca Women Impowerment Foundation Adam Simbaya amesema lengo la kutembea Hospitali ya wazazi Meta ni kumshukuru Mungu pia akianisha zawadi zilizotolewa kuwa ni pamoja na maziwa, sabuni,pampas na wipes.

Aidha Simbaya amesema wanaunga mkono juhudi zinazofanywa na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi ambaye amekuwa akiyagusa makundi mbalimbali yakiwemo ya wanawake na watoto.

Scolastica Kapinga ni muuguzi wa zamu kwa niaba ya uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya Kitengo cha Wazazi Meta ameishukuru Taasisi hiyo kwa kutoa msaada kwa wazazi na watoto sanjari na maboresho makubwa yaliyofanywa na serikali yamefanya watoe huduma kwa ufanisi mkubwa.

Kapinga amesema jumla ya watoto 18 wamezaliwa siku ya sikukuu ya Christmas tisa wakiwa ni wa kiume na tisa wa kike.

Afisa Ustawi wa Jamii Wiberd Mussa ameishukuru Taasisi kwa upendo kuwakumbuka watoto huku akiwataka wadau wengine kujitokeza kutoa misaada kwa wazazi na watoto ambao baadhi hutoka nje ya Mkoa wa Mbeya.

Tusekile Abel na Hafsa Hassan ni wazazi waliojifungua watoto mapacha kila mmoja wameishukuru Taasisi kwa kuwapa msaada pia wakiwashukuru madaktari na wauguzi kwa huduma nzuri.

Read More

Lakini tayari hapo mama mwenye nyumba alikuwa amenipa siku tatu niwe nimempa Sh300,000 zake au niwe nimerudisha chumba chake. Baada ya mawazo mengi na mipango mingi kufeli, nikajiwazia moyoni, kwanini nisi-bet?. Hapo kila mpango ulikuwa umeshindikana, nitafanya nini na Sh150,000  yangu?. Basi mwanaume nikaingia kazini, nikaanda mkeka wangu wenye odds za uhakika, mzigo ukasoma laki tatu na nusu kama nitashinda katika utabiri wangu. Ila sharti ni lazima niweke hela yote niliyonayo yaani laki moja na nusu, ikumbukwe kiwango changu kikubwa kabisa ku-bet ilikuwa Sh5,000, basi basi bana, nikajipa moyo na ile potelea mbali, nikaweka mkeka wangu. Dah nakumbuka ilikuwa asubuhi,…

Read More