Author: Mbeya Yetu

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera ametembelea shule ya mchepuo wa Kiingereza ya Holly Land iliyopo Mamlaka ya Mji Mdogo wa Makongolosi Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya.

Lengo la kutembelea shule hiyo ni kuipongeza kwa matokeo mazuri tangu kuanzishwa kwake na uwekezaji mkubwa wa Lawena Nsonda(Baba Mzazi).

Aidha amewataka wazazi Mkoani Mbeya kuwapeleka watoto shuleni hapo badala ya kuwapeleka mbali kwani shule ina huduma nzuri na malezi mazuri.

Kwa upande wake Lawena Nsonda (Baba Mzazi) ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fursa kwa wawekezaji nchini wakiwemo wamiliki wa Shule.

Shule ya Holly Land ni moja ya shule bora zinazofa vema Kiwilaya,Kimkoa na Kitaifa.

Read More

Heshima ya kweli anayopewa mwanaume kutoka kwa mke wake ni pale ambapo anatimiza majukumu yake vizuri ya kuihudumia familia, na kubwa zaidi ni pale wakati wa kula chakula cha usiku, mume ahakikishe mke kala na kuridhika. Natambua wakubwa wenzangu tunaelewana vizuri katika jambo hilo nyeti zaidi, huo ni uwanja wetu wa vita wa kujidai na kuonyesha uwezo wetu na kudhihirisha uanaume wetu. Binafsi niseme katika ndoa yangu kuna kipindi nilikubwa na tatizo la kiafya ambalo lilipelekea mimi kushindwa kumridhisha mke wangu hadi akafikia hatua ya kuanza kunidharau na kutamka wazi wazi ataenda nje ya ndoa yetu. Jina langu ni Rashid…

Read More

Bodi ya Ushauri ya Chuo cha Sayansi za Afya cha K’s Royal imepata nafasi ya kipekee ya kupongeza uongozi na wafanyakazi wa chuo kwa juhudi zao za kuhakikisha wanafunzi wanapata maarifa na ujuzi wa kisasa ili kuendana na mahitaji ya soko la ajira nchini. Katika kikao cha hivi karibuni, bodi hiyo ilibaini kwamba chuo kimejizatiti katika kuimarisha mitaala na mafunzo ambayo yanajibu moja kwa moja changamoto zinazokabili sekta ya afya nchini. Akiongea katika kikao kwenye kikao cha uzinduzi wa bodi mpya ya Chuo, Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri, Sr. Shukrani Ndumilla alisema, “Tuna furaha kubwa kuona kwamba chuo cha K’s…

Read More

Wafanyabiashara mkoani Mbeya wameiomba Serikali kuwapandisha vyeo maafisa wa Mamlaka ya mapato nchini kwa kigezo cha kuzalisha idadi kubwa ya walipa kodi badala ya kutumia kigezo cha kiwango kikubwa cha ukusanyaji mapato hali hiyo kimekuwa chanzo cha biashara nyingi kufa huku wakiomba kufanyika marekebisho ya sharia na kupunguza utitiri wa tozo ili kila mfanyabiashara awezi kulipa wa kwa hiari.

Read More

Kutokana na baadhi ya watendaji wa Mahakama kutokuwa waaminifu na kuamua kupokea rushwa, jambo hilo limepelekea baadhi ya watu kushindwa kupata haki wanayostahili katika chombo hicho muhimu. Hapa duniani kuna watu wanasifika kwa kutumia fedha zao kwa kuhonga Mawakili na Majaji ili washinde kesi na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa hadi kufikia hatua wengi sana. Jina langu ni Mohamed, naishi Nakuru Kenya, miaka kama miwili iliyopita niliajiriwa katika kiwanda kimoja cha kuzalisha Cement, kazi hii ilikuwa ni ngumu sana kiasi kwamba kila mara vijana wengi walikuwa wakiacha kazi. Mimi nilivumilia kutokana nilikuwa na shida sana na fedha, maisha yangu yalikuwa ni…

Read More