Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
- ONYO KALI KWA VIBAKA KUTOKA KWA WAMACHINGA SOKO LA JIONI KABWE JIJI LA MBEYA VIBAKA NA WEZI WAUFYATA
- MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI
- KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO
- MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
- Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH
- MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE
- WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.
- MWAISUMBE: ALIYEJITOSA UBUNGE 2010 AWANIA TENA MBEYA MJINI AAHIDI KUMUUNGA MKONO ATAKAYETEULIWA
Author: Mbeya Yetu
Jina langu ni Lui, miaka mitatu iliyopita nilinunua kiwanja maeneo ya Nyamagana kutoka kwa mzee mmoja aliyekua anakata viwanja kutoka kwenye shamba lake kubwa na kuviuza vipande vipande kwa watu. Sasa tatizo nilikuja kugundua nimetapeliwa ni pale nilipoenda ofisi za watu ardhi (survayers) ili wanipe mchakato wa nini kinatakiwa ili niweze kurasimisha kiwanja changu yaani kupata hati nikaambatana nao hadi kwenye eneo langu ili kuchukua coordinates ndipo hapo kugundua kua yule mzee aliniuzia kiwanja kwenye shamba ambalo lilikua na hati . Yaani haikua squatter bali eneo ambalo lilikwisha pimwa na lilikua na hati ya Wizara, sasa hawa ma savayer walichoniambia…
Nikiri kuwa katika maisha yangu sikuwa mwaminifu katika suala zima la mahusiano ya kimapenzi, nilikuwa na wapenzi zaidi ya watatu kwa wakati mmoja, hiyo yote ni kutokana na tamaa zangu za kimwili ambazo naweza kusema hapo baadaye zimekuwa kunigharimu sana. Jina langu ni Moni, mara baada ya kupata kazi na kuanza kuisha maisha ya kijitegemea, niliishi kwa kujiachia sana maana kwa wazazi wangu nilikuwa nabanwa sana. Baba alikuwa akitaka kila mtu katika familia kurejea nyumbani kabla ya saa moja usiku na ni marufuku kulala nje. Utaratibu huo ulikuwa unanikera sana maana rafiki zangu walikuwa wanatoka usiku na kwenda sehemu mbalimbali…
Mjumbe wa Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amewataka Viongozi na Wanachama wa Chama hicho kuyatangaza mambo mazuri yanayofanywa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maeneo mbalimbali nchini hususani Jimbo la Mbeya mjini ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya elimu, afya, barabara n.k Dkt. Tulia ameyasema hayo leo tarehe 23 Disemba, 2024 wakati akizungumza na Wanachama hao katika Mkutano Mkuu wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi…
Hakuna sehemu ambayo ina husda kama kwenye biashara maana watu wengi huwa wapendi kuona wenzao wanafanikiwa kimaisha, watu hufanya kila nyama kuhakikisha wanawashusha wenzao kibiashara. Baada ya kufanya tathimini na kujiridhisha kuwa sehemu nilipopanga naweza kufanya biashara, niliongea na mwenye nyumba na alinikubalia kufungua. Iliniambia itabidi nilipie kodi pia, sikuwa na tatizo na hilo, nililipa na kuanza biashara, baada ya kufungua na kuona biashara inaanza kusimama, mtoto wa mwenye nyumba akaanza visa. Aliniambia pale nilipojenge kibanda changu cha kazi siku yoyote ataniambia nibomoe wajenge nyumba, nikamwambia sawa haina shida nitafanya hivyo siku ikiwadia, Miezi ilipita na biashara ikasimama, ikabidi niongeze…
Naitwa Jeska, katika ujana nilijikuta nipo njia panda ambayo hadi leo naweza sema imeniweka kwenye mazingira magumu ila imenipa funzo kuwa tiba za asili ni muhimu kwa sisi wa Afrika. Miaka kama minne iliyopita nilikutana na kijana mmoja anayetokea familia ya kutajiri, tulipendana sana na tulifanya kila kitu, baada ya muda nilibeba ujauzito wake. Kwa bahati mbaya, kumbe mwenzangu alikuwa na matatizo tangu kuzaliwa bila mimi kujua na hakuwahi kuniambia, sina hakika ni matatizo gani, ila alikuwa hawezi kujaza mtu mimba. Hivyo nilipomwambia nina ujauzito wake, alikataa kabisa mimba, mimi nilidhani labda uoga tu ila aliendelea kunisisitiza nimtafute mwenye mimba…
Naitwa Msechu, naishi Kigoma Tanzania ninajishughulisha na kazi ya ujenzi nikiwa fundi rangi, changamoto kubwa ya kazi yangu ni vumbi, nimekuwa nasumbuliwa na kifua mara kwa mara. Miaka miwili iliyopita niliugua kifua kikuu, nilipekwa hospitali kwa ajili ya uchunguzi zaidi na ndipo nilibainika nilikuwa nasumbuliwa na ugonjwa wa kifua kikuu, sikushangaa kutokana na aina ya kazi yangu. Basi nilianza kutumia dawa nikiwa na matumaini ya kupona haraka, hata hivyo nilikuja kuelezwa kuwa dawa hizo nitazitumia kwa muda mrefu, nilifanya hivyo lakini hali yangu ya kiafya ilikuwa mbaya sana. Lakini hata nilipomaliza dozi kamili bado niliendelea kusumbuliwa na ugonjwa ule, baadhi …