Author: Mbeya Yetu

Kuna njia nyingi za kitaamu ambazo zimekuwa zinapendekezwa kuwasaidia watu wenye urahibu wa dawa za kulevya na kurudia maisha yao kawaida ya kila siku. Hata hivyo, baadhi ya wahanga wameshindwa kuondoka na matumizi ya dawa za kulevya licha ya kupitia taratibu zote za kitaalamu, hii ni kitokana na msingi wa tatizo lenyewe  kwani kila mmoja huwa na chanzo tofauti. Zipo baadhi ya familia zimekuwa ni kama jambo la kurithishana kwani kila mwanafamilia amekuwa akikumbwa na urahibu wa dawa za kulevya hadi unaweza kusikia jamilia fulani ni ya mateja. Jina langu Zuberi, mkazi wa Tanga, Tanzania, kaka yangu aliingiza kwenye matumizi…

Read More

Hospitali ya Rufaa ya Mloganzila (MZRH) imeadhimisha Siku ya Saratani Duniani kwa dhamira ya kuimarisha huduma za uchunguzi, matibabu, na uhamasishaji wa jamii kuhusu ugonjwa wa saratani. Kupitia mikakati madhubuti, hospitali hiyo inajikita katika kuboresha upatikanaji wa huduma za uchunguzi wa mapema, matibabu bora, na elimu kwa jamii ili kuongeza uelewa na kupunguza maambukizi ya saratani.

Katika maadhimisho hayo, wataalamu wa afya wamehimiza wananchi kufahamu dalili za awali za saratani, kufanya uchunguzi wa mara kwa mara, na kuzingatia mtindo bora wa maisha kama njia ya kujikinga na ugonjwa huo. MZRH imeendelea kuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya saratani kwa kuimarisha huduma zake za uchunguzi na matibabu, sambamba na kushirikiana na wadau mbalimbali katika sekta ya afya ili kuhakikisha huduma bora zinawafikia wananchi wote.

Kaulimbiu ya mwaka huu inaangazia umuhimu wa usawa katika upatikanaji wa huduma za afya kwa watu wote, huku MZRH ikidhamiria kuleta mabadiliko chanya katika sekta ya afya nchini.

Read More

Kila mwanamke ana ndoto ya kuolewa na mume mzuri ampendaye ambaye anaona anamfaa kuanzisha naye familia na kuishi maisha mazuri ya upendo, furaha, kujaliana na kuthaminiana. Vigumu kusema kuna mwanamke asiyekuwa na malengo hayo ingawa kuna wachache ambao wanaweza kuwa kinyume na hilo kutokana na sababu mbalimbali ambazo muda mwingine zinakuwa nje ya uwezo wa wao au sababu za kimazingira. Jina langu ni Anna, kwa sasa nina miaka 46, naishi Dar es Salaam, Tanzania, niliolewa miaka mitatu iliyopita, yaani nikiwa na umri wa miaka 43 jambo ambalo mwenyewe sikuamini hata familia yangu tayari ilikuwa imeshanikatia tamaa. Siri ya kuolewa kwangu…

Read More

Naweza kusema katika maisha kila jambo huwa na wakati wake, huwezi kulazimisha mambo kutokea wakati muda wake bado hajafika, ni kama kifaranga cha kuku, ukipasua yai kabla ya muda wake huwezi kupata kifaranga. Ndivyo ilivyokuwa katika maisha yangu na yale niliyopitia katika ndoa zangu tatu za mwamzo, kila mwanaume ambaye alinioa alitaka nimzalie mtoto na alipoona muda unaenda bila kushika ujauzito alifunikuza. Hakuna ubishi ni kwamba walishindwa kujua ni muda wangu wa kuzaa mtoto haujafika. Nilikuwa najipa moyo kuwa kuna muda wangu utafika lakini muda nilikaaa na kuwa na mawazo sana hasa nilipoachana na mume wangu wa tatu. Baada ya…

Read More

Hilo ni swali ambalo nakumbuka niliwauliza rafiki zangu kwenye group la WhatsApp, wengi walianza kunicheka na kusema mimi kama mume napaswa kuwa mkali kwa mke wangu. Sipaswi kuwa mtu wa kulialia kila mara. Lakini kweli ni kwamba pale ambapo naonyesha ukali wangu kutaka tendo la ndoa, ugomvi mkubwa huibuka ndani ya nyumba tena saa nane za usiku kiasi hadi majirani wanasikia na kujua ni kipi hasa tunagombania muda huo. Jina langu ni Ngosha toka Mwanza nchini Tanzania, katika maisha yangu ya ndoa hiyo ndio ilikuwa changamoto yangu kubwa zaidi katika ndoa. Ni kitu ambacho zikutarajia kipindi ambacho nilikuwa naoa kwani…

Read More