Author: Mbeya Yetu

Naita Nandera, mkazi wa Mwanza, ninaishi na Shangazi yangu, kuna kipindi ilipotea hela ya vikoba kama Sh3.8 milioni nyumbani, Shangazi yangu ndio alikuwa muweka hazina. Kesi ilifika hadi polisi, baada ya uchunguzi ilikuja kujulikana kuna watu walikuja na waliingia ndani wakachukua hela. Hata hivyo, bahati nzuri kuna majirani walishuhudia lakini walikuwa hawajui kinachoendelea, Shangazi ilibidi akope Bank alipe ile hela. Baada ya muda nilienda chuo, nilivyorudi ikatokea kesi nyingine, ndani kulikuwa na Sh3 milioni, na sehemu ambayo ilikuwa inakaa hiyo hela nilikuwa najua mimi na Shangazi tu. Hiyo siku kulikuwa na msiba kwa jirani, baada ya kurudi alikuwa anataka kuchukua…

Read More

Naitwa Chidi, kijana wa miaka 27, nakumbuka nilikuwa nina changamoto ya kuota ndoto zikawa zinanisumbua sana, nakumbuka zilikuwepo nne za aina tofauti tofauti. Mosi, niikuwa baota nafanya mapenzi na jitu nisiloifahamu, hapa linaweza nibadilisha niwe mwanaume lenyewe linakuwa la kike au linakuwa la kiume linaniingilia. Pili, naota nakimbizwa na n’gombe mkubwa mweusi mwenye pembe kali sana, huwa nakimbia sana na linaponikosa ghafla hubadilika na kuwa binadamu na kuanza kunirushia mishale mingi kwa haraka ila  halijawahi kunichoma na mshale yake Tatu, naota nataka kung’atwa na nyuki, lakini pia naota kuna majoka yananikimbiza ila moja ya majoka haya hujificha sehemu au kama…

Read More

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 20 Disemba, 2024 ametoa msaada wa vyakula na mboga kwa Wananchi wa Mbeya Mjini wanaoishi katika mazingira magumu Jijini Mbeya ambapo kwa siku ya leo ametembelea Kata 9 na kuwafikia Wananchi 1030 ambapo lengo kuu ni kuwafikia watu wengi wenye uhitaji katika Kata zote 36 za Jiji hilo.

Akitoa msaada huo, Dkt. Tulia amesema kuwa, lengo kuu la kufanya hivyo ni kufikisha tabasamu kwa Wananchi wake ambao hawajiwezi ili wafurahie katika msimu huu wa sikukuu za Chrismass na Mwaka mpya.

Read More