Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
- Mwantona: Mama Samia Ni Shujaa wa Wakulima, Tumpe Kura za Historia
- Nilijaribu Kuacha Ulevi Kwa Miaka 10 Lakini Siku Nilipopata Dawa Nilifunga Pombe Milele
- ahati Ndingo: “Historia ya Dkt. Samia Wana Mbarali Tutaandika kwa Wino wa Dhahabu”
- “Suma Fyandomo: Dkt. Samia Ni Dhahabu, Lulu na Tunu Ya Taifa Letu” tumpe kura za kishindo
- Kwa Mara ya Kwanza, Patali S. Patali Atikisa Jukwaa kwa Kumwombea Kura Samia
- Sophia Mwakagenda: Dkt. Samia Ameonyesha Uwezo wa Mwanamke Kuongoza Taifa
- Fyandomo Ampongeza Dkt. Samia Miradi Mikubwa Mbeya Ni Ushahidi kura zote ni kwako
- Ndele Mwaselela Aunguruma: Kura za Ushindi Ziko Tayari kwa Dkt. Samia
Author: Mbeya Yetu
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa watendaji wa uboreshaji Mkoa wa Tanga yaliyoanza leo Februari 02,2025 na yatakayomalizika Februari 03,2025. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa watendaji wa uboreshaji Mkoa wa Tanga yaliyoanza leo Februari 02,2025 na yatakayomalizika Februari 03,2025. Mjumbe wa Tume, Mhe. Magdalena Rwebangira akiwa akita mkutano huo. Washiriki wa mafunzo hayo ambao ni Mratibu wa Uandikishaji Mkoa,Maafisa Uandikishaji,Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi,Maafisa…
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Maryprisca Mahundi, ametimiza ahadi yake kwa wanawake wa Wilaya ya Kyela kwa kukabidhi mtambo wa kuchakata dhahabu (Karasha) kwa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilayani humo.
Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano, Mhe. Mahundi alisisitiza dhamira yake ya kuwawezesha wanawake kiuchumi, akisema:
“Lazima tuhakikishe tunasimamia maono yetu. Mimi kama kiongozi, nina jukumu la kuhakikisha tunakua pamoja, hasa kundi kubwa la wanawake ambao nawaongoza.”
Aliongeza kuwa mtambo huo wa kuchakata dhahabu utasaidia kuinua uchumi wa wanawake wa Kyela kwa kuwaongezea fursa za kipato na maendeleo endelevu.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilayani Kyela, Bi Sesilia Mwakang’ata, alimpongeza Naibu Waziri Mahundi kwa juhudi zake za kuleta maendeleo kwa wanawake wa Mbeya.
“Tunamshukuru sana kwa kutupatia mradi huu wa kuchakata dhahabu. Ni hatua kubwa katika kutufanikisha kiuchumi na tunaupokea kwa mikono miwili,” alisema Bi Sesilia.
Mradi huu unatarajiwa kuongeza fursa za ajira kwa wanawake wa Kyela na kuboresha hali yao ya kiuchumi kupitia sekta ya madini.
Jina langu ni Alex, siwezi kusahau jinsi ambayo tulizunguka huko na kule na Babu yetu katika Hospitali mbali mbali kutafuta msaada wa kitiba kwa Babu ambaye alikuwa anaugua ugonjwa wa Presha au Msukumo wa Dawa (BP). Wazazi wetu tayari walikuwa wametangulia mbele za haki, hivyo sisi wajukuu zake ndio hasa tulikuwa na jukumu zima la kumtunza kwa hali na mali kwani hakuna mwingine ambaye angeweza kufanya hivyo zaidi yetu katika familia ile. Kaka yangu mkubwa ndio aliyekuja na suluhisho la ugonjwa wa Babu baada ya kuzunguka sana, suluhisho lenyewe ni pale alipopata namba za Dr Bokko +255618536050, mtaalamu wa tiba…
#Mkandarasi barabara ya Ilula Image-Ilambo atakiwa kurejea kazini mara moja Iringa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff, amesema serikali inaridhishwa na kazi zinayofanywa na wakandarasi wanaojenga barabara za Mtili – Ifwagi (Km. 14) na Wenda – Mgama (Km. 19) ambazo zinagharimu bilioni 52. Barabara hizo zinajengwa chini ya mradi wa RISE, unaofadhiliwa kupitia mkopo nafuu kutoka Benki ya Dunia, ukiwa na lengo la kurahisisha usafirishaji wa mazao ya misitu, mboga mboga, chai, na mazao mengine kutoka mashambani hadi sokoni kwa wakati. Akizungumza baada ya kuongoza kamati zinazohusika na usimamizi wa mradi huo…
Licha ya matangazo mengi katika vyombo vya habari kuwa Kifua Kikuu (TB) ni ugonjwa unaotibika kwa urahisi na watu wasione aibu kwenda Hospitalini, kwani hali hiyo kwangu ilikuwa ni tofauti kabisa. Nadhubutu kusema hivyo kutokana baada ya kupata maradhi ya TB nilitumia dawa kwa kipindi kirefu bila mafanikio yoyote, zaidi nilipata nafuhu lakini baada ya muda hali ilirejea kuwa mbaya zaidi. Kwa majina ni Dulla, nilikuwa nafanya kazi katika mgodi wa dhahabu kwa miaka zaidi ya 10, mazingira ya mgodi na matumizi ya vifaa duni vya kufanyia kazi ni moja ya sababu za kuugua ugonjwa wa TB kwani hata marafiki…