Author: Mbeya Yetu

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) (kushoto) na Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN Tourism), Zurab Pololikashvili (kulia) na wakisaini Makubaliano ya Tanzania kuwa mwenyeji wa Kongamano la 2 la Kikanda la Utalii wa Vyakula la Shirika la Umoja wa Mataifa (The 2nd UN Tourism Regional Forum on Gastronomy Tourism for Africa) katika Makao Makuu ya Shirika la Utalii Duniani la Umoja wa Mataifa  jijini Madrid, Hispania leo Januari 24,2025. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) na Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa…

Read More

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera ameitia kizuizini kampuni ya Mbembati inayojihuosisha na ununuzi wa zao la Parachichi wilayani Rungwe kwa kushindwa kuwalipa Wakulima waliomuuzia Matunda ya zao hilo na ameitaka kampuni hiyo kuzilipa Fedha zote ndani ya masaa 48, Laa sivyo itaendelea Kuwekwa kizuizini chini ya Jeshi la Polisi.

Ni Baada ya RC Homera kuendesha Kikao Maalumu kilichowakutanisha Wakulima wa zao la Parachichi, wanunuzi na Wadau wa zao hilo Kutoka Halmashauri ya Rungwe na Busokelo na kukutana na malalamiko makubwa Kutoka kwa Wakulima juu ya kutolipwa Fedha zao Kutoka kwa wanunuzi wa zao la Parachichi.

Aidha amelaani Vikali vitendo hivyo na kuvitaja kama vitendo vya kikatili hasa kwa makampuni ya ununuzi kudhulumu kipato Cha Wakulima wanaotoa Jasho lao kuzipambania familia zao huku wao(wanunuzi) wakiishi Maisha Mazuri.

Makampuni mengine yanayodaiwa na Wakulima ni Pamoja na Monac, Kampuni ya Josia Kakenje,Avo Africa, Kampuni ya Kuza.

Kufuatia hilo RC Homera ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa Kushirikiana na Jeshi la Polisi kuwasaka na kuwakamata wanunuzi wote wanaotuhumiwa na Wakulima ili walete Maelezo haraka ya lini watazilipa Fedha hizo.

Read More

Hadi sasa Hospitalini hakuna dawa ambayo imefanikiwa kuondoa moja kwa moja ugonjwa kisukari zaidi wagonjwa kupewa dawa za kushusha sukari pamoja na kusitiziwa kufuata kanuni  fulani fulani za lishe. Jina langu ni Jescari Omollo, nafanya shughuli zangu pande za Kakamega nchini Kenya, binfasi nilisumbuliwa sana na ugonjwa kisukari hadi kufikia hatua ya kukatwa kidole changu cha mkono. Hiyo haikutosha bado niliendelea kusumbuliwa hapa na pale na ugonjwa huko hadi siku ambayo nilikutana na mtu anayekwenda kwa jina la Dr Bokko ambaye nilipata kumfahamu kupitia tangazo fupi kwenye gazeti. Wakati huo nikiwa sina cha kufanya kuhusu ugonjwa huo baada ya kutumia…

Read More

Wanasema huwezi kuwa tajiri kwa kazi ya kuajiriwa kamwe, hiyo ni kutokana matajiri wote duniani ni wafanyabiashara na wajasiriamali wakubwa ambao wamekuwa wakiuza bidhaa na kutoa huduma. Jina langu ni Lilian toka Nairobi, Kenya, tangu nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana biashara, nakumbuka nikiwa kijijini kwetu huko Meru, mara kadhaa nilikuwa naenda sokoni kuuza vitu wakati ningali mdogo. Niliamua kufanya hivyo kutokana na hali ya umaskini iliyokuwa imeikumba familia yatu kwa kiasi kikubwa. Nilijiapiza siku ambayo nakuja kuwa mtu mzima lazima nifanye biashara kubwa. Baada ya kuwa mkubwa nilihamia Nairobi kwa shangazi yangu, nilianza kufanya kazi katika Mgahawa mmoja ambapo nilitunza…

Read More