Author: Mbeya Yetu

Jina langu naitwa David kutokea Shinyanga, ni kijana wa miaka 28 ambaye nina nguvu kubwa ya ushawishi katika jamii yangu inayonizunguka hata katika mitandao ya kijamii ambapo nina wafuasi zaidi ya 200k. Ushawishi wangu kwa asilimia kubwa unatokana na mafanikio yangu na jinsi ambavyo nimekuwa nikiwasaidia watu katika shida mbalimbali ambazo zinawakabili. Hata hivyo, nisingeweza kuwa hapa nilipo bila ya msaada wa Kiwanga Doctors ambaye alisaidia kushinda mamilioni ya fedha katika jackpot ya bet ambayo nilicheza kwa mara kadhaa bila mafanikio. Kabla ya ushindi huo wa kushangaza, kazi yangu ilikuwa ni kufanya vibarua vya kuchunga ng’ombe za watu maeneo mbalimbali…

Read More

Imeelezwa kuwa uuguzi na ukunga ni fani ya wito wa kipekee na inayohitaji si maarifa na ujuzi bali heshima, moyo wa kujitolea, maadili ya juu na upendo kwa binadamu. Hayo yamesemwa na Samwel Mwangoka Mkuu wa Chuo cha Uuguzi na Ukunga Tukuyu katika mahafali ya 14 ya kuhitimu mafunzo ya Stashahada ya uuguzi na ukunga chuoni hapo na kuwasihi kuzingatia maadili kila mahali watakapokwenda na kuwa mfano wa nidhamu, bidii na uadilifu katika kazi. “..mtakuwa na jukumu kubwa la kutoa huduma bora za afya kwa wananchi na mtakabiliana na changamoto mbalimbali na zinaendelea kubadilika, kuanzia kushughulikia matatizo ya afya ya…

Read More

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu Kailima R.K, amefunga kikao cha siku mbili cha Tume na Vyama vya Siasa 18 vyenye usajili kamili na ambavyo vimependekeza wagombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania  na Makamu wa Rais, kwa lengo la kujadili na kupanga kwa pamoja ratiba ya kampeni za vyama hivyo.    Kikao hicho kilichoketi Agosti 25 na 26, 2025  kilishirikisha vyama vya Civic United Front (CUF), National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi), Union for Multiparty Democracy (UMD), Chama cha Mapinduzi (CCM), National League for Democracy (NLD), United Peoples’…

Read More