Author: Mbeya Yetu

Mbozi, Tanzania —  Na Mwandishi WETU 13/09/2023 Katika hatua muhimu ya kupunguza upofu unaepukika, Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (MZRH) na Shirika Helen Keller International leo  wamewasili mkoani Songwe kwaajili ya kutoa Huduma Mkoba ya matibabu ya ugonjwa wa mtoto wa jicho “Cataract Management” kwa wananchi takribani 700 wa Songwe katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi (Vwawa). Akiongea na waandshi wa habari, Dkt. Jofrey Josephat Mratibu wa Huduma za macho Mkoa wa Songwe ameeleza kuwa kambi hiyo ya siku 6 imelenga kukabiliana na magonjwa ya mtoto wa jicho vilevile kusogeza huduma hizo adimu katika maeneo ya karibu na wanapoishi…

Read More