Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI

July 3, 2025

KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO

July 1, 2025

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI
  • KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO
  • MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
  • Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH
  • MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE
  • WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.
  • MWAISUMBE: ALIYEJITOSA UBUNGE 2010 AWANIA TENA MBEYA MJINI AAHIDI KUMUUNGA MKONO ATAKAYETEULIWA
  • MHASIBU SUA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA SAME MASHARIKI
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » BAADHI YA WATENDAJI KATA NA VIJIJI WALALAMIKIWA KUTOKUSOMA MAPATO NA MATUMIZI.
Uncategorized

BAADHI YA WATENDAJI KATA NA VIJIJI WALALAMIKIWA KUTOKUSOMA MAPATO NA MATUMIZI.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 26, 2024Updated:March 26, 2024No Comments9 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Baadhi ya watendaji ngazi ya Kata na kijiji Tarafa ya Ilongo wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya wamekuwa wakilalamikiwa na wananchi kwa kutokutekeleza majukumu yao ipasavyo ikiwemo kutokusoma taarifa ya mapato na matumizi ya kila baada ya miezi mitatu.Hayo yamebainishwa na afisa tarafa hiyo Bi Magdalena Sikwese alipokuwa kwenye kikao cha kiutendaji amesema amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi wakilalamikia baadhi ya watendaji hawaweki wazi mapato ya vijiji kwa kuitisha mikutano na kueleza mapato yametumikaje.
Watendaji wa vijiji tunalala kwenye Maeneo yetu,tunasahau wajibu wetu wa kusoma Mapato na matumizi mpaka Wananchi wanalalamika sana mnatakiwa msome Mapato na matumizi Yani tekelezeni majukumu yenu ipasavyo ili kuamsha Hali kwa wananchi kuchangamkia fursa za kuleta maendeleo ya vijiji.”

Baadhi ya watendaji ngazi ya Kata na kijiji Tarafa ya Ilongo wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya wamekuwa wakilalamikiwa na wananchi kwa kutokutekeleza majukumu yao ipasavyo ikiwemo kutokusoma taarifa ya mapato na matumizi ya kila baada ya miezi mitatu.

Hayo yamebainishwa na afisa tarafa hiyo Bi Magdalena Sikwese alipokuwa kwenye kikao cha kiutendaji amesema amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi wakilalamikia baadhi ya watendaji hawaweki wazi mapato ya vijiji kwa kuitisha mikutano na kueleza mapato yametumikaje.

Bi Magdalena amesema baadhi ya watumishi wakifika Maeneo Yao ya kazi hasa vijijini wanajisahau kama ni watumishi na kuanza kufanya kazi kwa mazoea kulingana na mazingira

“Watendaji wa vijiji tunalala kwenye Maeneo yetu,tunasahau wajibu wetu wa kusoma Mapato na matumizi mpaka Wananchi wanalalamika sana mnatakiwa msome Mapato na matumizi Yani tekelezeni majukumu yenu ipasavyo ili kuamsha Hali kwa wananchi kuchangamkia fursa za kuleta maendeleo ya vijiji.”

Katika hatua nyingine afisa Tarafa huyo amewakumbusha watendaji kuwa wapo kwenye vijiji na Kata kumuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania ,hivyo wanapaswa kuwajibika ili ifikapo mwaka 2025 wa uchaguzi aliyewapa dhamana aweze kushindwa kwa kishindo baada ya wananchi kuridhika na utendaji wao kazi.

‘tutimize wajibu wetu Ili mwaka 2025 aliyetutuma tumuwakilishe na tumsaidie kazi kwa wananchi aweze kushindwla kwa kishindo,tutatue kero za wananchi ,tusome Mapato na matumizi na mikutano ya hadharani ifanyike mara kwa mara.

Baadhi ya wananchi wameiomba serikali kutoa muongozo wa matumizi ya mapato ya vijijini ili kuweza kudhibiti ubadhirifu.

“Emmanuel mwaisabila amesema maendeleo ya Kijiji hayawezi kuja kama viongozi wetu hawatokuwa na utaratibu wa kusoma Mapato na matumizi,hivyo tunawaomba wajenge utaratibu wa kutoa taarifa za Mapato na matumizi pamoja na miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye Maeneo yetu.

Kwa upande wao baadhi ya watendaji baada ya kikao cha kiutendaji kazi wameahidi kwenda kufanya kazi kwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma na kutekeleza majukumu yao kwa weredi.

“Sophia Bernad mtendaji Kata ya utengule Usangu amesema Tutakwenda kutimiza wajibu wetu na kufanya kazi kwa bidii, kutatua kero ya mtu mmoja mmoja na kubuni miradi mbalimbali itakayokwemda kuleta maendeleo kwenye Maeneo yetu ya kazi.

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TUME YA UCHAGUZI YAPONGEZWA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU 2025

June 9, 2025

AFISA MTENDAJI MKUU WA AfD AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA BODI YA GPE MJINI PARIS LEO

June 4, 2025

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024173

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202569

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202460
Don't Miss
Video Mpya

MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI

By Mbeya YetuJuly 3, 20250

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Ndele Mwaselela, amekutana na waandishi wa habari na kutoa ufafanuzi kuhusu uvumi unaoenea miongoni mwa baadhi ya wanachama wa chama hicho kuwa amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini.

Katika tamko lake kwa vyombo vya habari, Mwaselela amekanusha taarifa hizo na kusisitiza kuwa hana nia ya kugombea ubunge bali anaendelea kujikita kikamilifu katika kulitumikia Chama katika nafasi yake ya uongozi ndani ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.

KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO

July 1, 2025

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025

Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH

June 30, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI

July 3, 2025

KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO

July 1, 2025

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024173

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202569
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.