Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo

September 17, 2025

Nilirogwa Nipoteze Kila Kitu ila Hatua Niliyopiga Ilinivunja Minyororo Ya Uchawi

September 17, 2025

Niliibiwa Gari Yangu Usiku, Lakini Hatua Niliyopiga Ilifanya Wezi Wenyewe Walirudishe Hadi Getini

September 16, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo
  • Nilirogwa Nipoteze Kila Kitu ila Hatua Niliyopiga Ilinivunja Minyororo Ya Uchawi
  • Niliibiwa Gari Yangu Usiku, Lakini Hatua Niliyopiga Ilifanya Wezi Wenyewe Walirudishe Hadi Getini
  • Nilipoteza Mume Wangu Kwa Mpango wa Kando ila Kitu Nilichojaribu Kilimfanya Aombe Radhi Hadharani
  • Wezi walioiba gari langu waja nyumbani kujisalimisha wenye na kukiri makosa
  • Shuleni walimuita “kichwa maji” ila sasa ana shule yake
  • Alipambana sana kupata mapenzi ya huyu binti bila mafanikio ila leo hii wapo pamoja
  • BRANDY NELSON:’NILIUKOSA UDIWANI V/MAALUM 2020 NIKAANZA UPYA 2025 CHAMA KIMENICHAGUA KUGOMBEA KATA’
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Waziri Aweso Aagiza Mabomba Yote ya Mto Kiwira Yatengenezwe Mara Moja
Habari za Kitaifa

Waziri Aweso Aagiza Mabomba Yote ya Mto Kiwira Yatengenezwe Mara Moja

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJuly 24, 2025No Comments7 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amemtaka Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji kushirikiana na mkandarasi anayetekeleza mradi wa maji wa chanzo cha Mto Kiwira kuweka makubaliano maalum na kiwanda kinachotengeneza mabomba yatakayotumika katika zaidi ya kilomita 30 za mradi huo, ili kuhakikisha mabomba yote yanatengenezwa kwa wakati mmoja.

Mhe. Aweso ametoa maelekezo hayo leo alipofanya ziara kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi huo, ambapo alieleza kuridhishwa na kazi kubwa iliyofanyika chini ya usimamizi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya (MBEYAUWSA). Hata hivyo, alieleza kuwa changamoto kubwa iliyobainika ni ucheleweshaji wa ulazaji wa mabomba kutoka kwenye chanzo cha maji hadi kwenye tanki kuu — tatizo linalosababishwa na uchelewaji wa upatikanaji wa mabomba katika eneo la mradi.

Akizungumza katika ziara hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa MBEYAUWSA, CPA Gilbert Kayange, alisema kuwa mradi huo ni wa kimkakati na utakapokamilika utaongeza upatikanaji wa huduma ya maji kwa wakazi wa Jiji la Mbeya na maeneo jirani kwa kipindi cha zaidi ya miaka 20 ijayo.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa MBEYAUWSA, Bi. Edna Mwaigomole, aliipongeza Serikali kwa utayari wake wa kutoa fedha zinazohitajika kukamilisha mradi huo kwa wakati, akisema hatua hiyo inaonesha dhamira ya dhati ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Aidha, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Beno Malisa, amemuomba Waziri Aweso kuisaidia taasisi ya Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Mbeya kwa kuiwezesha kifedha ili kukamilisha zaidi ya miradi 10 ya maji inayosuasua kutokana na ukosefu wa fedha kwa wakati.

default
default

“RUWASA imekuwa ikikumbwa na changamoto ya fedha, jambo ambalo linaathiri kasi ya utekelezaji wa miradi ya maji vijijini. Tunaomba Wizara itazame hili kwa jicho la huruma,” alisisitiza Mhe. Malisa.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.

September 15, 2025

DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI

September 14, 2025

TUME YATOA MWALIKO KWA WAANDISHI WA HABARI WENYE NIA YA KURIPOTI MATUKIO WAKATI WA UCHAGUZI

September 3, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025209

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025124
Don't Miss
Uncategorized

Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo

By Mbeya YetuSeptember 17, 20252

Katika kijiji kidogo kilichopo Tarime, aliishi kijana aitwaye Benedicto. Alizaliwa katika familia ya kimasikini sana,…

Nilirogwa Nipoteze Kila Kitu ila Hatua Niliyopiga Ilinivunja Minyororo Ya Uchawi

September 17, 2025

Niliibiwa Gari Yangu Usiku, Lakini Hatua Niliyopiga Ilifanya Wezi Wenyewe Walirudishe Hadi Getini

September 16, 2025

Nilipoteza Mume Wangu Kwa Mpango wa Kando ila Kitu Nilichojaribu Kilimfanya Aombe Radhi Hadharani

September 16, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo

September 17, 2025

Nilirogwa Nipoteze Kila Kitu ila Hatua Niliyopiga Ilinivunja Minyororo Ya Uchawi

September 17, 2025

Niliibiwa Gari Yangu Usiku, Lakini Hatua Niliyopiga Ilifanya Wezi Wenyewe Walirudishe Hadi Getini

September 16, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025209

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.