Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilipoteza Biashara Yangu ya Bidhaa za Nyumbani, Lakini Dawa Asilia Ilinirudishia Bahati Yangu ya Kifedha

October 10, 2025

TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA

October 9, 2025

Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia

October 9, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilipoteza Biashara Yangu ya Bidhaa za Nyumbani, Lakini Dawa Asilia Ilinirudishia Bahati Yangu ya Kifedha
  • TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA
  • Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia
  • Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo
  • Nilidhani Sina Bahati Maishani, Lakini Baada ya Hatua Moja Rahisi Kila Kitu Kikaanza Kuninufaisha
  • KIKWETE AIPONGEZA BENKI YA NMB
  • Mbinu Rahisi za Kumfanya Mume Wako Apagawe Kitandani
  • Austack “Kadogoo” Mushi Aililia Serikali imsaidie Baada ya Kuvamiwa na Kupoteza Kila Kitu
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MGOMBEA UBUNGE MHE. BAHATI KENETH NDINGO AENDELEA NA ZIARA KATA YA RUJEWA, MBARALI
Habari za Kitaifa

MGOMBEA UBUNGE MHE. BAHATI KENETH NDINGO AENDELEA NA ZIARA KATA YA RUJEWA, MBARALI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuOctober 7, 2025No Comments4 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Kampeni za Uchaguzi Mkuu zinaendelea kwa kasi katika Jimbo la Mbarali, ambapo Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Bahati Keneth Ndingo, ameendelea na ziara yake ya kuomba kura kwa wananchi na wanachama wa CCM katika Kata ya Rujewa na maeneo ya jirani yanayo unda kata hiyo

Katika ziara hiyo ya leo, Mhe. Bahati Ndingo ametembelea maeneo mbalimbali ya Kata ya Rujewa, yakiwemo maeneo ya: Ihanga, Luwilindi, Mkwajuni, Rujewa Mjini, Mabanda, na Ibara, ambapo amekuwa akizungumza moja kwa moja na wananchi, akiwasihi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, na kuwachagua wagombea wote wa CCM kuanzia nafasi ya Urais, Ubunge hadi Udiwani.

Aidha Bahati Ndingo Amemshukuru Mgombea wanafasi ya Urais wa chama cha mapinduzi CCM DKT, Samia suluhu Hassani Kwa kazi kubwa alizozifanya katika Jimbo la Mbarali Kwa kuleta fedha nyingi za miradi kwaajili ya wananchi wa Mbarali , hivyo amewasihi wananchi na wanachama wa chama cha mapinduzi CCM kumuunga mkono Kwa kupiga kura nyingi za Ndiyo kama ishara ya kurudisha shukrami kazi kubwa alizozifanya Mbarali

Katika ziara hiyo Mgombea Ubunge Bahati Ndingo amefanya mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Starlight, Rujewa, ambapo ameinadi Ilani ya CCM ya mwaka 2025 – 2030, huku akielezea mafanikio mbalimbali yaliyopatikana kupitia chama hicho ndani ya kata hiyo, Pia ameeleza kuwa serikali ya CCM imeweza kutekeleza miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5, ikiwa ni pamoja na miradi ya elimu, afya, miundombinu, na miradi ya maji

Ziara hiyo imeendelea kuimarisha uungwaji mkono kwa CCM katika Jimbo la Mbarali, huku wananchi wengi wakionesha matumaini makubwa kwa utekelezaji wa ahadi za chama hicho endapo kitapewa ridhaa ya kuendelea kushika Dora

Kampeni hizi zinaongozwa na kaulimbiu ya “Tunaendeleza Tulipoishia – Mbarali Yetu, Fahari Yetu” Kauli mbiu hii ikiwa inalenga na kusisitiza Kazi, Maarifa, Nguvu, na kujituma zaidi kwa maendeleo ya wananchi.

📲 Endelea kufuatilia taarifa na matukio ya kampeni ya Mhe. Bahati Keneth Ndingo kupitia kurasa rasmi za mitandao ya kijamii.

🔰 @Bahati Keneth Ndingo
#BKN #CCM2025 #MbaraliKwanza

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo

October 9, 2025

KIKWETE AIPONGEZA BENKI YA NMB

October 8, 2025

ZIARA YA MGOMBEA UBUNGE BAHATI NDINGO YAACHA TABASAMU KWA WANANCHI WA KATA YA MAHONGOLE

October 5, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025218

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024192

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025163

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125
Don't Miss
Uncategorized

Nilipoteza Biashara Yangu ya Bidhaa za Nyumbani, Lakini Dawa Asilia Ilinirudishia Bahati Yangu ya Kifedha

By Mbeya YetuOctober 10, 20251

Jina langu ni Osman Said, na kwa miaka kadhaa nilikuwa nikijivunia kuwa mfanyabiashara wa bidhaa…

TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA

October 9, 2025

Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia

October 9, 2025

Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo

October 9, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilipoteza Biashara Yangu ya Bidhaa za Nyumbani, Lakini Dawa Asilia Ilinirudishia Bahati Yangu ya Kifedha

October 10, 2025

TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA

October 9, 2025

Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia

October 9, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025218

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024192

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025163
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.