Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilipoteza Biashara Yangu ya Bidhaa za Nyumbani, Lakini Dawa Asilia Ilinirudishia Bahati Yangu ya Kifedha

October 10, 2025

TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA

October 9, 2025

Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia

October 9, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilipoteza Biashara Yangu ya Bidhaa za Nyumbani, Lakini Dawa Asilia Ilinirudishia Bahati Yangu ya Kifedha
  • TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA
  • Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia
  • Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo
  • Nilidhani Sina Bahati Maishani, Lakini Baada ya Hatua Moja Rahisi Kila Kitu Kikaanza Kuninufaisha
  • KIKWETE AIPONGEZA BENKI YA NMB
  • Mbinu Rahisi za Kumfanya Mume Wako Apagawe Kitandani
  • Austack “Kadogoo” Mushi Aililia Serikali imsaidie Baada ya Kuvamiwa na Kupoteza Kila Kitu
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo
Habari za Kitaifa

Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo

Mbeya YetuBy Mbeya YetuOctober 9, 2025Updated:October 9, 2025No Comments15 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Shirika la Posta Tanzania (TPC) kupitia Ofisi yake ya Mkoa wa Mbeya, limeadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa kufanya shughuli za kijamii ikiwemo kukabidhi msaada wa vyandarua katika Hospitali ya Wilaya ya Igawilo, Jijini Mbeya.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo, Meneja wa Shirika la Posta Mkoa wa Mbeya, Amos Millinga, alisema kuwa wiki hiyo imelenga kutoa elimu kwa wananchi kuhusu huduma mbalimbali za Posta, sambamba na kuadhimisha Siku ya Posta Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 9 Oktoba.

“Wiki hii tumeendesha programu maalum inayolenga kutoa uelewa wa huduma zetu za Posta. Lakini sambamba na hilo, tunasherehekea Siku ya Posta Duniani kwa kujihusisha na shughuli za kijamii kama njia ya kurudisha fadhila kwa jamii,” alisema Millinga.

Millinga aliongeza kuwa Shirika la Posta ni miongoni mwa mashirika ya umma yanayojali ustawi wa jamii, na kila mwaka limekuwa likitenga sehemu ya bajeti yake kusaidia sekta za afya, elimu na mazingira.

“Tumeamua kufika hapa Hospitali ya Igawilo kukabidhi vyandarua ambavyo vitasaidia wagonjwa na wadau mbalimbali wanaopokea huduma katika hospitali hii. Tunafanya hivi kama sehemu ya kujali na kuchangia maendeleo ya jamii,” aliongeza Meneja huyo.

Kwa upande wake, Afisa Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Igawilo, Donald Mwashtete, akizungumza kwa niaba ya Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo pamoja na Mganga Mkuu wa Jiji la Mbeya, aliishukuru Shirika la Posta kwa kitendo hicho cha kuikumbuka hospitali yao.

“Tunawashukuru sana wenzetu wa Shirika la Posta kwa kutukumbuka na kufanya jambo hili jema. Ni ishara ya upendo na ushirikiano mzuri kati ya taasisi za umma. Kwa niaba ya wagonjwa na wateja wetu, tunasema asanteni sana kwa zawadi hizi ambazo zitawasaidia walengwa kwa kiwango kikubwa,” alisema Mwashtete.

Ameongeza kuwa msaada huo umewatia moyo watumishi wa afya na kuonyesha namna taasisi za umma zinavyoweza kushirikiana kwa manufaa ya wananchi.

“Tunathamini sana mchango huu, kwani unaonyesha dhamira njema ya Serikali kupitia Shirika la Posta katika kusaidia jamii na kuboresha huduma za afya,” alimalizia.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

KIKWETE AIPONGEZA BENKI YA NMB

October 8, 2025

MGOMBEA UBUNGE MHE. BAHATI KENETH NDINGO AENDELEA NA ZIARA KATA YA RUJEWA, MBARALI

October 7, 2025

ZIARA YA MGOMBEA UBUNGE BAHATI NDINGO YAACHA TABASAMU KWA WANANCHI WA KATA YA MAHONGOLE

October 5, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025218

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024192

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025163

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125
Don't Miss
Uncategorized

Nilipoteza Biashara Yangu ya Bidhaa za Nyumbani, Lakini Dawa Asilia Ilinirudishia Bahati Yangu ya Kifedha

By Mbeya YetuOctober 10, 20250

Jina langu ni Osman Said, na kwa miaka kadhaa nilikuwa nikijivunia kuwa mfanyabiashara wa bidhaa…

TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA

October 9, 2025

Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia

October 9, 2025

Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo

October 9, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilipoteza Biashara Yangu ya Bidhaa za Nyumbani, Lakini Dawa Asilia Ilinirudishia Bahati Yangu ya Kifedha

October 10, 2025

TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA

October 9, 2025

Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia

October 9, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025218

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024192

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025163
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.