AJIUA KWA KUJICHOMA MOTO.Mnamo tarehe 08.11.2021 majira ya saa 03:00 asubuhi huko Kijiji cha Ihombekilichopo Kata ya Utengule Usongwe, Tarafa ya Usongwe, Wilaya ya MbeyaVijijini, Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la MASHAKA SAIMON @YOKONIA [35] Mkazi wa Kijiji cha Ihombe alikutwa ndani ya nyumba yakeakiwa amefariki dunia kwa kuungua moto.
Ni kwamba kabla ya tukio hilo marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwamuda mrefu na alitelekezwa na mke wake hali iliyopelekea kukata tamaa yamaisha na siku chache zilizopita alifanya jaribio la kujilipua kwa Petrol kabla yakuokolewa na mdogo wake. Upelelezi wa shauri hili unaendelea.Aidha ninatoa wito kwa wananchi/jamii kwa ujumla kutoa taarifa za mtu/watuwenye hali ya kukata tamaa ya Maisha kwa viongozi wao wa vijiji, mitaa kabla yakutokea madhara makubwa kama ilivyotokea kwa marehemu MASHAKASAIMON @ YOKONIA
Trending
- MALKIA WA NGUVU WALIOSHINDA TUZO KANDA NYANDA ZA JUU KUSINI WATOA USHUHUDA WAO
- WIMBO WA WANAFUNZI SEKONDARI YA IWIJI WAMGUSA RC HOMERA , ATOA MAJIBU PAPO KWA HAPO
- MBEYA EXPORT TRADING: TAWA NA JITIHADA ZA KUENDELEZA HISTORIA YA MJI WA KILWA KUWA URITHI WA DUNIA
- MBEYA EXPORT TRADING: WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TFS YAJA NA HUDUMA UDUNGISHAJI NYUKI KUTIBU MARADHI
- RC HOMERA AWAPA ”KIBANO” WATENDAJI MBEYA DC AWAPA SIKU 7 KUKAMILISHA MARUMARU SEKONDARI YA IWIJI
- Waziri Aweso: Miradi Ya Maji Yapiga Hatua, Sasa Tuimarishe Huduma na Udhibiti wa Upotevu wa Maji
- RC HOMERA AAGIZA MIL 200 ZIELEKEZWE KITUO CHA AFYA IYUNGA MAPIDUZI MBEYA DC
- RC HOMERA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI SEKONDARI WANAFUZI WA MAHITAJI MAALUMU UTENGULE USONGWE