Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amehudhuria hafla ya kuadhimisha miaka 135 ya Bunge la Hungary,October 17, 2024
Share Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya(MZRH) imekuwa ni Hospitali ya kwanza nchini kuwa na huduma ya Mkalimani wa lugha ya alama. Mkalimani huyo ambaye ameajiriwa na Hospitali hiyo atatumika kuwasaidia Viziwi ili waweze kupata huduma bila usumbufu.
Wananchi walia na gharama kubwa ya matibabu Wajawazito watozwa Fedha Hospitali ya wilaya ChunyaOctober 16, 2024