Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA
  • Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana
  • MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI
  • Hofu yake zilianza kuathiri hata furaha ya ndoa yake
  • MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI
  • MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA
  • MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA
  • Dourmohamed Issa ashinda kwa kishindo Umeya na kutetea nafasi yake
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MAADHIMISHO YA SIKU YA USIKIVU DUNIANI YAADHIMISHWA KITAIFA MKOANI MBEYA
Video Mpya

MAADHIMISHO YA SIKU YA USIKIVU DUNIANI YAADHIMISHWA KITAIFA MKOANI MBEYA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 3, 2024No Comments15 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Maadhimisho ya siku ya usikivu Duniani yameadhimishwa Kitaifa Mkoani Mbeya mgeni rasmi akiwa ni Waziri wa Afya Ummy Mwalimu aliyewakilishwa na Dkt Maisara Karume maadhimisho yalifofanyika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya.

Katika hotuba yake Dkt Maisara Karume amesema takwimu za kitaifa zinaonesha kuwa tatizo la usikivu ni kubwa na baadhi ya mikoa wanawake wanaongoza kwa tatizo la usikivu.

Dkt Maisara ameagiza hospitali zote za Rufaa za mikoa nchini kuwa na vifaa kwa ajili kubaini changamoto ya usikivu kwa wananchi.

Rais wa Jumuia ya Wataalamu wa masikio,pua na koo Tanzania Dkt Edwin Liyombo ameishukuru serikali kwa kuongeza wataalamu na vifaa katika hospitali nyingi nchini.

Naye Amina Mfaki mwakilishi kutoka ofisi ya Rais TAMISEMI amesema serikali inaendelea kuboresha huduma za afya kwa kujenga hospitali sanjari na kutoa elimu kwenye jamili ili kupunguza tatizo la usikivu kwa wananchi.

Taarifa imesomwa na Raphael Gabriel Katibu wa Jumuia ya wataalamu wa masikio pua na koo ikionesha Jumuia ina wataalamu zaidi ya mia moja ishirini wa kada mbalimbsli ambao walihusika kutoa huduma za afya,uchunguzi na utabibu katika wiki ya maadhimisho.

Dkt Benedict Ngunyale ni Daktari Bingwa hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya mkuu wa kiitengo cha masikio,pua na koo amesema katika wiki ya maadhimisho wamezifikia shule kumi na moja za msingi na zaidi ya wanafunzi elfu tatu wamepatiwa elimu na uchunguzi wa masikio na matibabu.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya Dkt
Godlove Mbwanji amesema changamoto nyingi za usikivu zinasababishwa na upigaji wa muziki kwa sauti ya juu mathalani kwenye huduma za vinyozi ambazo huathiri pia wateja.

Mwinyi Kondo kutoka Wizara ya Afya ameomba vyombo vya habari kutoa nafasi kwa waataalamu kutoa elimu kwenye jamii.

Kupitia maadhimisho haya mbali ya wananchi kunufaika na elimu kutoka kwa wataalamu wa wananchi wamefanyiwa uchunguzi na kupatiwa matibabu bure.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI

December 5, 2025

MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA

December 5, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Video Mpya

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

By Mbeya YetuDecember 6, 20251

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025

Hofu yake zilianza kuathiri hata furaha ya ndoa yake

December 6, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.