Siku moja tu baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu kuhukumiwa kifungo cha miezi mitano Jela Hakimu aliyemhukumu Sugu na mwenzie Masonga,Michael Mteite amechukua likizo ya wiki tatu.
Wakati huo huo CHADEMA wapo katika harakati za mwisho za kukata rufaa ya hukumu hiyo.
Trending
- Samia: Serikali tumejipanga, waje siku yoyote tunawasubiri (kuhusu Maandamano ya Disemba 9
- KAULI YA SAMIA YAWASHTUA WENGI: MWANAMKE MZURI HUPIGANIWA
- Hakukata tamaa hadi alipopata mtoto wake kwa njia hii
- SAMIA: VIONGOZI WA DINI MSIJIVISHE MAJOHO KUONGOZA NCHI – AWANYOOSHEA KIDOLE TEC
- Yard yake ilianza kujaza wateja kutoka pande zote
- RAIS SAMIA AFUNGUKA MAZITO MBELE YA WAZEE!
- Mkutano mkuu Simba vurugu tupu
- KANISA LA EAGT BETHELI GOMBE UYOLE MBEYA NA UJUMBE MZITO KATIKA KUCHANGIA UJENZI WA KANISA LAO

