Siku moja tu baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu kuhukumiwa kifungo cha miezi mitano Jela Hakimu aliyemhukumu Sugu na mwenzie Masonga,Michael Mteite amechukua likizo ya wiki tatu.
Wakati huo huo CHADEMA wapo katika harakati za mwisho za kukata rufaa ya hukumu hiyo.
Trending
- KONGAMANO MAFUNDI MBEYA. DC MALISSA AWEKA BAYANA ”UAMINIFU WA MAFUNDI SIRI YA KUWA FUNDI SMART”
- FUNDI SMART YAWA MKOMBOZI KWA MAFUNDI NCHINI 7000 WAJISAJILI KWENYE MFUMO MKOANI WA MBEYA
- KUUNDWA KWA JAB NI HATUA YA KUIMARISHA NA KUBORESHA SEKTA YA HABARI – MAJALIWA
- SPIKA DKT. TULIA ACKSON AFUNGUA KONGAMANO LA WASOMI WA AFRIKA UDSM
- JK ASHIRIKI KUTOA MAFUNZO CHUO KIKUU CHA HAVARD HUKO BOSTON KWA MAWAZIRI WA NCHI ZINAZOENDELEA
- SERIKALI ITAFANYIA KAZI HARAKA MAAZIMIO YA KONGAMANO LA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI- MSIGWA.
- MH. MAHUNDI AKARIBISHWA NA MABANGO JOJO
- MH. MAHUNDI Atembelea Banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA)Atoa Msaada kwa Maendeleo ya Wananchi