Angalia maajabu ya Mlemavu huyu wa macho mkazi wa Lwangwa Busokelo wilayani Rungwe mkoani Mbeya, alipofuka macho akiwa na umri wa miaka 9, anamudu kufanya shughuli mbalimbali za ufundi anaweza kutengeneza baiskeli, pikipiki na hata kuuza duka anatambua na kuwarudishia chenji wateja wake bila kukosea na anatoa huduma kwa bidhaa ulizoagiza.
Trending
- Samia: Serikali tumejipanga, waje siku yoyote tunawasubiri (kuhusu Maandamano ya Disemba 9
- KAULI YA SAMIA YAWASHTUA WENGI: MWANAMKE MZURI HUPIGANIWA
- Hakukata tamaa hadi alipopata mtoto wake kwa njia hii
- SAMIA: VIONGOZI WA DINI MSIJIVISHE MAJOHO KUONGOZA NCHI – AWANYOOSHEA KIDOLE TEC
- Yard yake ilianza kujaza wateja kutoka pande zote
- RAIS SAMIA AFUNGUKA MAZITO MBELE YA WAZEE!
- Mkutano mkuu Simba vurugu tupu
- KANISA LA EAGT BETHELI GOMBE UYOLE MBEYA NA UJUMBE MZITO KATIKA KUCHANGIA UJENZI WA KANISA LAO

