Angalia maajabu ya Mlemavu huyu wa macho mkazi wa Lwangwa Busokelo wilayani Rungwe mkoani Mbeya, alipofuka macho akiwa na umri wa miaka 9, anamudu kufanya shughuli mbalimbali za ufundi anaweza kutengeneza baiskeli, pikipiki na hata kuuza duka anatambua na kuwarudishia chenji wateja wake bila kukosea na anatoa huduma kwa bidhaa ulizoagiza.
Trending
- Nilikataliwa na Wanaume Wote Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niolewe na Tajiri
- Aibu!! Askofu Mkuu abainika kuiba fedha kanisa lake
- Kongamano la Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050 Kufanyika Mbeya
- Prof. Makulilo: Watanzania Wajiandae kwa Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050
- Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo
- Nilirogwa Nipoteze Kila Kitu ila Hatua Niliyopiga Ilinivunja Minyororo Ya Uchawi
- Niliibiwa Gari Yangu Usiku, Lakini Hatua Niliyopiga Ilifanya Wezi Wenyewe Walirudishe Hadi Getini
- Nilipoteza Mume Wangu Kwa Mpango wa Kando ila Kitu Nilichojaribu Kilimfanya Aombe Radhi Hadharani