Angalia maajabu ya Mlemavu huyu wa macho mkazi wa Lwangwa Busokelo wilayani Rungwe mkoani Mbeya, alipofuka macho akiwa na umri wa miaka 9, anamudu kufanya shughuli mbalimbali za ufundi anaweza kutengeneza baiskeli, pikipiki na hata kuuza duka anatambua na kuwarudishia chenji wateja wake bila kukosea na anatoa huduma kwa bidhaa ulizoagiza.
Trending
- Kumbe alinitumia kupona maumivu ya kufiwa na mkewe!
- Baada ya kusumbuka sana, nimepata kazi ya Sh4.6 milioni
- Dawa ya mwanaume asiyetaka mlee mtoto pamoja
- Sh43.1 milioni za bet zilivyobadili maisha yangu
- Kwa hakika Single Mothers tunapitia mengi katika mahusiano!
- KADA CCM MBEYA AWAAELEZA WAPINZANI,NCHI YETU HAIHITAJI SIASA ZA HARAKATI, INAHITAJI SERA NA ILAINI
- “Daraja Jipya Itewe Lapongezwa โ Wananchi Wamshukuru Rais Samia, Homera Aisifu TARURA”
- Mamlaka ya Maji Mbeya (Mbeya UWSA) Yajibu Kilio cha Shule ya Tulia, Yakabidhi Tenki la Lita 5000