Octoba 5 kila mwaka ni siku ya MWALIMU DUNIANI,changamoto katika taaluma hii zinashabihiana kwa walimu wengi wa Tanzania,heshima ya walimu katika zama hizi imeshuka tofauti na zama zile ambapo Mwalimu alikuwa ni mshauri,alikuwa ndiye mtatuzi na mfumbuzi wa matatizo katika jamii,sifa zile za walimu kwa zama zile zimegeukia kwa wanasiasa,Mwalimu ndiye kiwanda cha kuzalisha wataalamu wote waliopo chini ya jua.
Trending
- Nilichukiwa na Kila Mwanamume, Leo Wananipigania Kama Niko Thamani Ya Dhahabu
- Bwana Afichua Jinsi Wake Wawili Walivyopanga Kumnyang’anya Mali Zote Kimya Kimya
- Shitambala Awajibu Wanaosambaza Uvumi: “Mimi ni Mwanachama Mwaminifu wa CCM”
- Shitambala Atangaza Rasmi Kumuunga Mkono Mwalunenge na Rais Samia
- Nilipunguza Uzito Bila Mazoezi, Siri Ni Majani Haya Maalum
- Nilipigania Shamba La Urithi Kwa Miaka 10 Sasa Nimeibuka Mshindi na Familia Imenitazama Kwa Hofu
- WAWINDAJI PANYA WILAYA MOMBA WASAMBABISHIA HASARA MKULIMA WA MAHINDI MBOZI GUNIA 200 ZATEKETEA MOTO
- Mama Afumaniwa Akimroga Mwanawe Ili Abaki Nyumbani Asiolewe