Octoba 5 kila mwaka ni siku ya MWALIMU DUNIANI,changamoto katika taaluma hii zinashabihiana kwa walimu wengi wa Tanzania,heshima ya walimu katika zama hizi imeshuka tofauti na zama zile ambapo Mwalimu alikuwa ni mshauri,alikuwa ndiye mtatuzi na mfumbuzi wa matatizo katika jamii,sifa zile za walimu kwa zama zile zimegeukia kwa wanasiasa,Mwalimu ndiye kiwanda cha kuzalisha wataalamu wote waliopo chini ya jua.
Trending
- Niliona Kila Kitu Kikikwama Nyumbani Mabadiliko Madogo Yalileta Utulivu Uliokosekana
- Bosi Wangu Alitaka Kuniangamiza Kwenye Kazi, Lakini Hatua Niliyopiga Ilimfanya Aniombe Msamaha
- Sikia Mchungaji huyu alivyosema na Wachawi(ABHALOSI KUFWINA INYAMA ZA BHAANDU MUUNDA MMYABHO)
- RC MALISA AIPA KONGOLE MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA TRA MKOA WA MBEYA AAHIDI USHIRIKIANO ZAIDI 2026
- Alinitupa Bila Majuto, Lakini Muda Mfupi Baadaye Alianza Kunisumbua Kila Siku Bila Mimi Kujitahidi
- Nilikuwa Najaribu Kila Kitu Kupandisha Biashara Bila Mafanikio Siri Moja Iliyoniletea Mafanikio ya Haraka
- Mwalunenge Aanza Kutatua Kero ya Barabara Iyela kwa Kumwaga Vifusi
- Iyela Yalia kwa Serikali, Barabara Muhimu Yageuka Mtego

