Octoba 5 kila mwaka ni siku ya MWALIMU DUNIANI,changamoto katika taaluma hii zinashabihiana kwa walimu wengi wa Tanzania,heshima ya walimu katika zama hizi imeshuka tofauti na zama zile ambapo Mwalimu alikuwa ni mshauri,alikuwa ndiye mtatuzi na mfumbuzi wa matatizo katika jamii,sifa zile za walimu kwa zama zile zimegeukia kwa wanasiasa,Mwalimu ndiye kiwanda cha kuzalisha wataalamu wote waliopo chini ya jua.
Trending
- SIMBACHAWENE ATEMBEA MITAANI KUANGALIA USALAMA—AWAPA HONGERA WANANCHI KWA UTULIVU
- Taarifa nyingine Tena Toka jeshi la polisi
- 2021 11 26 14 36 44
- SHILINGI BILIONI 6.7 KUTIBU WAGONJWA 760 WASIO NA UWEZO WA KUMUDU GHARAMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA
- Polepole hisia zilianza kurejea na maisha yalianza upya!
- Jeshi la Polisi latoa Taarifa muda huu
- Hali shwari Jiji la Mbeya
- HALI ILIVYO KWA SASA MITAA YA MWAMBENE JIJINI MBEYA

