Octoba 5 kila mwaka ni siku ya MWALIMU DUNIANI,changamoto katika taaluma hii zinashabihiana kwa walimu wengi wa Tanzania,heshima ya walimu katika zama hizi imeshuka tofauti na zama zile ambapo Mwalimu alikuwa ni mshauri,alikuwa ndiye mtatuzi na mfumbuzi wa matatizo katika jamii,sifa zile za walimu kwa zama zile zimegeukia kwa wanasiasa,Mwalimu ndiye kiwanda cha kuzalisha wataalamu wote waliopo chini ya jua.
Trending
- Alinitupa Bila Majuto, Lakini Muda Mfupi Baadaye Alianza Kunisumbua Kila Siku Bila Mimi Kujitahidi
- Nilikuwa Najaribu Kila Kitu Kupandisha Biashara Bila Mafanikio Siri Moja Iliyoniletea Mafanikio ya Haraka
- Mwalunenge Aanza Kutatua Kero ya Barabara Iyela kwa Kumwaga Vifusi
- Iyela Yalia kwa Serikali, Barabara Muhimu Yageuka Mtego
- Nilivyovutia Wateja Wengi Na Kila Siku Kuongeza Mapato Baada ya Hatua Moja Rahisi Ya Kienyeji Nilizofuata
- Baada ya Kukwama Kuuza Mali Zangu, Hatua Niliyopata Ilibadilisha Kila Kitu Ndani ya Muda Mfupi Sana
- MAKONDA KWA MARA YA KWANZA AUNGURUMA
- Baada ya Miaka ya Kutokuwa na Hisia Kitandani, Hatimaye Nilipata Suluhisho la Kudumu

