Octoba 5 kila mwaka ni siku ya MWALIMU DUNIANI,changamoto katika taaluma hii zinashabihiana kwa walimu wengi wa Tanzania,heshima ya walimu katika zama hizi imeshuka tofauti na zama zile ambapo Mwalimu alikuwa ni mshauri,alikuwa ndiye mtatuzi na mfumbuzi wa matatizo katika jamii,sifa zile za walimu kwa zama zile zimegeukia kwa wanasiasa,Mwalimu ndiye kiwanda cha kuzalisha wataalamu wote waliopo chini ya jua.
Trending
- CHUO CHA SAYANSI ZA AFYA K’S ROYAL CHAPONGEZWA KWA JUHUDI ZA KUKUZA UJUZI KWA WANAFUNZI KUKIDHI SOKO LA AJIRA NCHINI
- RUSHWA!! RUSHWA!! NI KILIO CHA KADA WA CCM MBEYA’ ‘AFUNGUKA JUU YA CHAGUZI ZA NDANI ZA CHAMA
- WALIPA KODI: WAOMBA KIGEZO CHA KUPANDISHA VYEO WAFANYAKAZI WA TRA KIBADILIKE
- Mkuu wa Chuo KZ Royal, Edward Azungumzia Mafanikio, Changamoto na Mikakati ya Kuimarisha Elimu Bora
- Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa
- Je unachangamoto ya saratani, umekata tamaa kutokana na kuumwa saratani. Sikiliza hii video
- Ushirikina wapelekea kutumia dawa za kulevya
- KADA WA CCM MBEYA ASIMULIA MIAKA 48 YA NEEMA NA MATUMANI MAKUBWA KWA WATANZANIA