Octoba 5 kila mwaka ni siku ya MWALIMU DUNIANI,changamoto katika taaluma hii zinashabihiana kwa walimu wengi wa Tanzania,heshima ya walimu katika zama hizi imeshuka tofauti na zama zile ambapo Mwalimu alikuwa ni mshauri,alikuwa ndiye mtatuzi na mfumbuzi wa matatizo katika jamii,sifa zile za walimu kwa zama zile zimegeukia kwa wanasiasa,Mwalimu ndiye kiwanda cha kuzalisha wataalamu wote waliopo chini ya jua.
Trending
- SIKIA KILIO CHA WAFUNGWA GEREZA LA RUANDA MBEYA KWA RAIS SAMIA
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Azindua Kiwanda cha Kwanza cha Uchenjuaji wa Shaba Nchini Chunya, Mbey
- WANAFUNZI WAFUNGWA WA GEREZA LA RUANDA MBEYA WAHITIMU MAFUNZO CHUO CHA UFUNDI MAGEREZA
- WAKAZI KATA YA MAJENGO MBEYA WATANGAZA MITANO TENA KWA DIWANI WAO MAULIDI JAMADARI
- MAMLAKA MAJI MBEYA YABAINI WIZI MKUBWA WA MAJI ENEO LA MAGEREJINI SOWETO MFUMO WA MITA WAHUJUMIWA
- T/PRISON YAICHIMBA MKWARA YANGA,MBEYA HAICHOMOKI INAHITAJI ALAMA 3 KUJIKWAMUA KUSHUKA
- Utekelezaji wa Ilani ya CCM Wampa Heshima Meya Mbeya Kata ya Isanga
- MAKALA MAALUMU: “Utekelezaji wa Miaka Mitano: Kazi, Matendo na Mafanikio ya Mhe. Mahundi”