Mshindi wa tuzo ya Malkia wa Nguvu Zuwena Mohamed almaarufu SHILOLE au SHISHI BABY!! amesema anawahusudu na kuwapenda sana wanaume wa Mkoa wa Mbeya kutokana na kuwa na nguvu kutokana kula chakula chenye nguvu Ugali na Dona.
Shilole amesema hayo wakati wa uzinduzi wa Mgahawa mpya ya kisasa Jijini Mbeya TEXAS RESTAURANT
#MbeyaYetuTv
Trending
- CCM MKOA MBEYA ZIARANI CHUNYA MWALUNENGE AAGIZA KUBORESHWA MFUMO USAJILI WAGONJWA SANGAMBI
- Wizara ya Mawasiliano Yaendelea Kushirikiana kwa Karibu na Jeshi la Polisi Kukabili Utapeli Mtandaoni – Mhandisi Maryprisca Mahundi
- TIMU YA MADAKTARI NA WAUGUZI KUTOKA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA, TANZANIA WAMETEMBELEA UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA, TAREHE 12 MEI, 2025
- UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA
- MBEYA CITY YARUDI NBC PREMIER LEAGUE KIBABE FURAHA YAREJEA KWA WAKAZI JIJINI MBEYA
- Mh. Mahundi Atoa Wito kwa Wasichana wa Mzumbe Ndaki ya Mbeya Kujikita Katika Masomo na Maadili
- WANANCHI:”DKT TULIA AMEGUSA MAKUNDI YOTE MBEYA YUPO YUPO SANA”
- WASANII BONGO MOVIE WAMUELEZEA DKT TULIA WALIPOSHIRIKI TULIA MARATHON MBEYA