#MbeyaYetuTv
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert John Chalamila ametoa masaa 7 na kuwataka wadaiwa Sugu wa Ranchi ya Taifa ya NARCO iliyopo Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya kulipa madeni yao zaidi ya Shilingi Bil.1.7.
Chalamila amesema Wadaiwa hao Sugu akiwemo aliyekuwa Waziri wa Fedha Basil Mramba,aliyekuwa Mbunge wa Mbarali Esterina Kilasi na baadhi ya Wafanyabiashara wanatakiwa kulipa fedha hizo ndani ya saa 7 ambapo pia amesema mara baada ya tamko hilo, mifugo ya wafanyabiashara hao itakuwa chini ya mikono ya serikali hadi hapo watakapolipa deni hilo.
Trending
- Mbeya Zonal: Mafunzo ya Dharura Yaendelea Kuimarisha Uokozi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini
- WILAYA YA RUNGWE YAMKABIDHI RASMI MKANDARASI WA KAGWA GENERAL SUPPLIES KUANZA KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA KIWILA
- *DKT. MWIGULU AWAONYA WAVUNJIFU WA SHERIA*
- WILAYA YA RUNGWE YAMKABIDHI RASMI MKANDARASI WA KAGWA GENERAL SUPPLIES KUANZA KUJENGA SOKO LA NDIZI
- Karejesha tabasamu la uso wake na ndoa yake
- HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA YAANZA RASMI KUTOA MAFUNZO YA HUDUMA ZA DHARURA KWA LENGO LA KUOKOA MAISHA NA KUPUNGUZA ATHARI ZA AJALI NA DHARURA ZA KIAFYA NYANDA ZA JUU KUSINI
- TANZANIA NA QATAR ZASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA KUTAMBULIANA VYETI VYA MABAHARIA
- EDEN KATININDA: ”MNUNUZI MASHUHURI WA PARETO NCHINI ATOA SOMO KWA WAKULIMA WA ZAO LA PARETO”
