#MbeyaYetuTv
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert John Chalamila ametoa masaa 7 na kuwataka wadaiwa Sugu wa Ranchi ya Taifa ya NARCO iliyopo Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya kulipa madeni yao zaidi ya Shilingi Bil.1.7.
Chalamila amesema Wadaiwa hao Sugu akiwemo aliyekuwa Waziri wa Fedha Basil Mramba,aliyekuwa Mbunge wa Mbarali Esterina Kilasi na baadhi ya Wafanyabiashara wanatakiwa kulipa fedha hizo ndani ya saa 7 ambapo pia amesema mara baada ya tamko hilo, mifugo ya wafanyabiashara hao itakuwa chini ya mikono ya serikali hadi hapo watakapolipa deni hilo.
Trending
- VIJANA CCM MBEYA DC WAJIPANGA KUPIGA KURA OKTOBA 2025.
- “Kasi Yaongezeka! CCM Mbeya Yajaza Nafasi Mbili Kamati ya Siasa mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu”
- TARURA YAPATA TUZO USHIRIKISHAJI JAMII KATIKA UJENZI WA BARABARA
- MFUKO WA HIFADHI YA JAMII KWA WASTAAFU WA UMMA PSSSF WATOA DOZI KWA WANAHABARI MBEYA
- MFUKO WA HIFADHI YA JAMII PSSSF YAWAJENGEA UWEZO WANAHABARI MKOA WA MBEYA.
- TUME YA UCHAGUZI YAPONGEZWA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU 2025
- TULIA TRUST UYOLE CUP 2025 YAZINDULIWA MBEYA.
- MASHUHUDA AJALI ILIOUA 28 MBEYA WATOA NENO