#MbeyaYetuTv
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert John Chalamila ametoa masaa 7 na kuwataka wadaiwa Sugu wa Ranchi ya Taifa ya NARCO iliyopo Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya kulipa madeni yao zaidi ya Shilingi Bil.1.7.
Chalamila amesema Wadaiwa hao Sugu akiwemo aliyekuwa Waziri wa Fedha Basil Mramba,aliyekuwa Mbunge wa Mbarali Esterina Kilasi na baadhi ya Wafanyabiashara wanatakiwa kulipa fedha hizo ndani ya saa 7 ambapo pia amesema mara baada ya tamko hilo, mifugo ya wafanyabiashara hao itakuwa chini ya mikono ya serikali hadi hapo watakapolipa deni hilo.
Trending
- Baada ya hapo ndipo akapata kazi kubwa zaidi!
- SIMBACHAWENE ATEMBEA MITAANI KUANGALIA USALAMA—AWAPA HONGERA WANANCHI KWA UTULIVU
- Taarifa nyingine Tena Toka jeshi la polisi
- 2021 11 26 14 36 44
- SHILINGI BILIONI 6.7 KUTIBU WAGONJWA 760 WASIO NA UWEZO WA KUMUDU GHARAMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA
- Polepole hisia zilianza kurejea na maisha yalianza upya!
- Jeshi la Polisi latoa Taarifa muda huu
- Hali shwari Jiji la Mbeya
