#MbeyaYetuTv
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert John Chalamila ametoa masaa 7 na kuwataka wadaiwa Sugu wa Ranchi ya Taifa ya NARCO iliyopo Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya kulipa madeni yao zaidi ya Shilingi Bil.1.7.
Chalamila amesema Wadaiwa hao Sugu akiwemo aliyekuwa Waziri wa Fedha Basil Mramba,aliyekuwa Mbunge wa Mbarali Esterina Kilasi na baadhi ya Wafanyabiashara wanatakiwa kulipa fedha hizo ndani ya saa 7 ambapo pia amesema mara baada ya tamko hilo, mifugo ya wafanyabiashara hao itakuwa chini ya mikono ya serikali hadi hapo watakapolipa deni hilo.
Trending
- CHUO CHA SAYANSI ZA AFYA K’S ROYAL CHAPONGEZWA KWA JUHUDI ZA KUKUZA UJUZI KWA WANAFUNZI KUKIDHI SOKO LA AJIRA NCHINI
- RUSHWA!! RUSHWA!! NI KILIO CHA KADA WA CCM MBEYA’ ‘AFUNGUKA JUU YA CHAGUZI ZA NDANI ZA CHAMA
- WALIPA KODI: WAOMBA KIGEZO CHA KUPANDISHA VYEO WAFANYAKAZI WA TRA KIBADILIKE
- Mkuu wa Chuo KZ Royal, Edward Azungumzia Mafanikio, Changamoto na Mikakati ya Kuimarisha Elimu Bora
- Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa
- Je unachangamoto ya saratani, umekata tamaa kutokana na kuumwa saratani. Sikiliza hii video
- Ushirikina wapelekea kutumia dawa za kulevya
- KADA WA CCM MBEYA ASIMULIA MIAKA 48 YA NEEMA NA MATUMANI MAKUBWA KWA WATANZANIA