Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Unataka Mtoto wa Kiume? Njia Hii Imenisaidia

September 11, 2025

Dormohamed Issa: “Nitaendeleza Miradi Tuliyoianza kwa Manufaa ya Wananchi” kata ya isanga

September 10, 2025

Dkt. Tulia Azindua Kampeni Isanga, Amnadi DoorMohamed Issah kwa Kishindo

September 10, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Unataka Mtoto wa Kiume? Njia Hii Imenisaidia
  • Dormohamed Issa: “Nitaendeleza Miradi Tuliyoianza kwa Manufaa ya Wananchi” kata ya isanga
  • Dkt. Tulia Azindua Kampeni Isanga, Amnadi DoorMohamed Issah kwa Kishindo
  • Mrembo alivyovunja minyororo ya kiroho iliyozuia kupata mume muda mrefu
  • Nilichukiwa na Kila Mwanamume, Leo Wananipigania Kama Niko Thamani Ya Dhahabu
  • Bwana Afichua Jinsi Wake Wawili Walivyopanga Kumnyang’anya Mali Zote Kimya Kimya
  • Shitambala Awajibu Wanaosambaza Uvumi: “Mimi ni Mwanachama Mwaminifu wa CCM”
  • Shitambala Atangaza Rasmi Kumuunga Mkono Mwalunenge na Rais Samia
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Miaka miwili ya Kifo cha JPM Wanafunzi Chato wamfariji Mama Janeth Magufuli
Video Mpya

Miaka miwili ya Kifo cha JPM Wanafunzi Chato wamfariji Mama Janeth Magufuli

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 18, 2023No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mama Janeth Magufuli, mjane wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli, akifurahi na wanafunzi nyumbani kwake Chato leo Machi 18, 2023.

Mama Janeth amewaasa wanafunzi wasichana katika Shule za Msingi na sekondari nchini kote kujiepusha kabisa na mambo yanayoweza kuathiri maendeleo yao kimasomo.

Mama Magufuli amesema mambo mengi ya Kisasa hususan ya mitandao yamekuwa yakitengua mawazo chanya ya wasichana, na kuwashawishi waishi maisha ya mtandao ambayo mengi yao si maisha halisi.

“Kwa hiyo binti zango elekezeni akili, maarifa na juhudi katika masomo na sio mambo mengine yanayoweza kuathiri maendeleo yenu kimasomo kama vile mambo ya mitandao ambayo mengi sio yenye kuonesha maisha halisi”, alisema Mama Magufuli leo Machi 18, 2023 nyumbani kwake Chato, Mkoa wa Geita.

Mjane huyo wa Hayati Dkt. Magufuli alikuwa akiongea machache baada ya kutoa misaada ya taulo za wasichana na Baiskeli za magurudumu kwa Shule tatu za Sekondari za Wasichana zilizomo wilayani Chato.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Dormohamed Issa: “Nitaendeleza Miradi Tuliyoianza kwa Manufaa ya Wananchi” kata ya isanga

September 10, 2025

Dkt. Tulia Azindua Kampeni Isanga, Amnadi DoorMohamed Issah kwa Kishindo

September 10, 2025

Shitambala Awajibu Wanaosambaza Uvumi: “Mimi ni Mwanachama Mwaminifu wa CCM”

September 8, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025207

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025124

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025112
Don't Miss
Uncategorized

Unataka Mtoto wa Kiume? Njia Hii Imenisaidia

By Mbeya YetuSeptember 11, 20251

Kwa miaka mingi nilikuwa nikisikia watu wakisema, “Kuzaliwa mtoto wa kiume ni bahati kutoka kwa…

Dormohamed Issa: “Nitaendeleza Miradi Tuliyoianza kwa Manufaa ya Wananchi” kata ya isanga

September 10, 2025

Dkt. Tulia Azindua Kampeni Isanga, Amnadi DoorMohamed Issah kwa Kishindo

September 10, 2025

Mrembo alivyovunja minyororo ya kiroho iliyozuia kupata mume muda mrefu

September 10, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Unataka Mtoto wa Kiume? Njia Hii Imenisaidia

September 11, 2025

Dormohamed Issa: “Nitaendeleza Miradi Tuliyoianza kwa Manufaa ya Wananchi” kata ya isanga

September 10, 2025

Dkt. Tulia Azindua Kampeni Isanga, Amnadi DoorMohamed Issah kwa Kishindo

September 10, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025207

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025124
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.