Tohara kwa wanaume ni oparesheni inayohusu kuondolewa kwa sehemu ya ngozi au ngozi yote inayofunika kichwa cha uume, na imekuwa ikifanywa na baadhi ya watu katika makabila na dini mbalimbali kwa zaidi ya maelfu ya miaka.
Kwa sasa tohara kwa wanaume imeamsha mvuto mkubwa wa kisayansi na uchunguzi kwa sababu utafiti umethibitisha kuwa wanaume waliotahiriwa wana viwango vidogo vya maambukizo ya virusi vya ukimwi (VVU) kuliko wasiotahiriwa.
Trending
- Kutoka kusota hadi usukani wenye utajiri
- Ikulu Dodoma: Rais Samia Azungumza na Mawaziri Baada ya Kuwaapisha
- Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda
- DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI
- Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto
- Safari ya Uponyaji Kutoka katika Maumivu ya Hedhi
- RAIS SAMIA atangaza Baraza lake jipya la mawaziri
- Aondokana na umaskini wa kutupwa baada ya kujua mbinu za betting

