Tohara kwa wanaume ni oparesheni inayohusu kuondolewa kwa sehemu ya ngozi au ngozi yote inayofunika kichwa cha uume, na imekuwa ikifanywa na baadhi ya watu katika makabila na dini mbalimbali kwa zaidi ya maelfu ya miaka.
Kwa sasa tohara kwa wanaume imeamsha mvuto mkubwa wa kisayansi na uchunguzi kwa sababu utafiti umethibitisha kuwa wanaume waliotahiriwa wana viwango vidogo vya maambukizo ya virusi vya ukimwi (VVU) kuliko wasiotahiriwa.
Trending
- Maumivu ya Ghafla Yalinifanya Nidhani Ni Mwisho, Baadaye Nikagundua Mawe ya Figo Yanatibika Kwa Mitishamba
- Tazama alichoimba Dkt. Tulia Ackson Atoa sadaka kwa kaya 13 zisizo na uwezo kata ya Ilemi
- WANA KIKUNDI STAR FAMILY MBEYA WALIVYOMALIZA MWAKA KWA KUTOA SADAKA KWA WATOTO YATIMA
- TUKIO ZIMA KUAGWA KATIBU MUHTASI CCM MBEYA MJII I BAADA YA KUSTAAFU,DKT TULIA/MWALUNENGE WASAPOTI
- Uzito Ulionekana Kunizidi Nguvu Hatua Moja Baada ya Nyingine Zilileta Mabadiliko
- DKT. TULIA ACKSON AANZA ZOEZI LA KUWAFIKIA KAYA ZENYE UHITAJI ZAIDI UYOLE, KAYA 130 ZANUFAIKA KUELEKEA SIKUKUU
- Nilijeruhiwa na Maneno ya Niliyekuwa Ninamwamini Safari ya Kujiponya Ilinisaidia Kuamua Hatua Ijayo
- JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA MBEYA YAVUNJA UKIMYA YATOA TAMKO RASMI BAADA YA UCHAGUZI MKUU OKT 29

