Tohara kwa wanaume ni oparesheni inayohusu kuondolewa kwa sehemu ya ngozi au ngozi yote inayofunika kichwa cha uume, na imekuwa ikifanywa na baadhi ya watu katika makabila na dini mbalimbali kwa zaidi ya maelfu ya miaka.
Kwa sasa tohara kwa wanaume imeamsha mvuto mkubwa wa kisayansi na uchunguzi kwa sababu utafiti umethibitisha kuwa wanaume waliotahiriwa wana viwango vidogo vya maambukizo ya virusi vya ukimwi (VVU) kuliko wasiotahiriwa.
Trending
- BAHATI NDINGO AZINDUA KAMPENI MBARALI KIBABE WANACCM WAFURIKA MSWISWI KUMSAPOTI
- Dormohamed Issa: Mwalunenge tumeshaanzanae kazi oktoba tunatiki Rais Mbunge na Madiwani
- Wapinzani Wanakubali Juhudi za Samia – Shitambala Ataka Kura za Kishindo Mbeya
- Mary Mwanjelwa: Hatoki mtu Hanuni mtu Hasusi mtu CCM imetutoa Mbali
- Mahundi Azidi Kuuamsha Mbeya Mjini: Aomba Kura kwa Samia, Mwalunenge na Madiwani
- Mwalunenge: “Nataka Mbeya Ibadilike Kiuchumi, kila kijana na kila mama awe na fursa ya kipato.”
- Antony Mwantona: “Amsaidiae Maskini Amemkopesha Mungu” – Kura kwa Tulia na Samia
- DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI