Tohara kwa wanaume ni oparesheni inayohusu kuondolewa kwa sehemu ya ngozi au ngozi yote inayofunika kichwa cha uume, na imekuwa ikifanywa na baadhi ya watu katika makabila na dini mbalimbali kwa zaidi ya maelfu ya miaka.
Kwa sasa tohara kwa wanaume imeamsha mvuto mkubwa wa kisayansi na uchunguzi kwa sababu utafiti umethibitisha kuwa wanaume waliotahiriwa wana viwango vidogo vya maambukizo ya virusi vya ukimwi (VVU) kuliko wasiotahiriwa.
Trending
- Baada ya kuijua Nyota yangu ndipo nikafanikiwa haraka maishani
- SIKU NMB MASTABATA ILIVYOWAPIGISHA SHOPPING YA KIBABE WATEJA WAKE MBEYA
- Naibu Waziri Mahundi Aongoza Sherehe ya WAWATA, Mbeya
- RC. Homera: Endeleeni kukiamini chama Cha Mapinduzi kitawaletea Mambo mengi
- “RC Homera: Tuwatafute Popote Walipo Watu Wenye Ulemavu, Tuwape Mikopo”
- MAHUNDI ACHANGIA 2M KIKUNDI CHA IVIMA MAKONGOROSI CHUNYA
- Naota nanyongwa na rafiki zangu, nikiamka nimewasahau!
- WAKAZI MTAA WA KATI SOWETO MBEYA WAINGIA MTAANI WAJITENGENEZEA BARABARA ILIYOHARIBIWA NA MVUA