Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kutokea mkoa wa Mbeya Charles Mwakipesile amewajia juu baadhi ya watu hususani wapinzani ambao wamekuwa wakitoa maneno ya kejeli dhidi ya maendeleo yaliyoletwa na Rais Samia kwa kipindi cha miaka mitatu tangu achukue kijiti cha kuliongoza Taifa kutoka kwa Rais wa awamu ya tano aliyefariki dunia Dkt John Magufuli.
Trending
- LIVE: JUBILEE YA MIAKA 25 KATIKA NDOA. YA MR. & MRS. PATRICK ADKIN MWALUNENGE
- Alinilikataa Kimapenzi Mara Kadhaa Hatua Moja Iliyobadilisha Mtazamo Wake
- Hatua Moja Iliyanifanya Nimepata Mali Yangu
- Mtoto Wangu Alichelewa Kutembea na Kuongea Hatua Moja Iliibua Maendeleo Yake
- Nilianza Januari Bila Pesa ya Mahitaji Hatua Moja Ilinisaidia Kusimama Tena
- Nilihofia Usalama wa Familia Yangu Kuingia Mwaka Mpya Hatua Nilizochukua Kuweka Kinga
- Nilikuwa Naogopa Kuanza Mwaka Mpya Kwa Bahati Mbaya—Maamuzi Yaliyobadili Mwelekeo Wangu
- HUPASWI KUJIULIZA MARA MBILI KWANINI USIMPELEKE MWANAO PARADISE MISSION PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA

