Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kutokea mkoa wa Mbeya Charles Mwakipesile amewajia juu baadhi ya watu hususani wapinzani ambao wamekuwa wakitoa maneno ya kejeli dhidi ya maendeleo yaliyoletwa na Rais Samia kwa kipindi cha miaka mitatu tangu achukue kijiti cha kuliongoza Taifa kutoka kwa Rais wa awamu ya tano aliyefariki dunia Dkt John Magufuli.
Trending
- Hatua moja muhimu ya kufanikiwa kibiashara
- MSIGWA Atoa Onyo kwa Vyombo vya Habari vya Nje: Zingatia Maadili
- Namna ya kuimarisha ustawi wa ndoa yako
- RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA
- Rungwe Wasaini Mkataba wa Bilioni 2.8 Kujenga Soko la Kisasa la Ndizi
- Safari Kuelekea Furaha ya Ndoa Iliyokosekana Kwa Muda Mrefu
- Badili upepo wa Biashara Yako Hadi Mafanikio
- Watumishi wazembe hawatakuwa na nafasi-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

