Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kutokea mkoa wa Mbeya Charles Mwakipesile amewajia juu baadhi ya watu hususani wapinzani ambao wamekuwa wakitoa maneno ya kejeli dhidi ya maendeleo yaliyoletwa na Rais Samia kwa kipindi cha miaka mitatu tangu achukue kijiti cha kuliongoza Taifa kutoka kwa Rais wa awamu ya tano aliyefariki dunia Dkt John Magufuli.
Trending
- T 99 girls watua Hospitali Ya Wazazi Meta Watoa zawadi. Wampongeza Dkt. Mbwanji
- “Hofu Yatanda: Daktari Aishi Kwenye Gari Mbeya”
- MAHUNDI AHAMASISHA WATOTO WA KIKE KUSOMA STEM( Sayansi Teknolojia Uhandisi na Hisabati) na TEHAMA
- Mke wa Mbunge mstaafu Mbeya Afariki dunia Atimiza miaka 90 ni mama wa Meya wa jiji Dodoma
- Mafuriko Kilombero: Timu za Uokoaji Zafuatilia Nyumba kwa Nyumba, Shule Kufungwa Kwa Muda
- MAKANISA YAKUTANA MBEYA KUJADILIDILIANA NAMNA YA KUJIKWAMUA KIUCHUMI
- Tulia Trust Yatoa Msaada kwa Wahanga wa Mafuriko Kyela, Mbeya
- Profesa Malebo:Serikali ya awamu ya Sita ya Dkt Samia Suluhu Hassan imeendelea kuimarisha juhudi za kulinda haki za binadamu