Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 24 Mei 2024, ametembelea Kanisa la Mtakatifu Bikira Maria lililopo Cairo nchini Misri, eneo ambalo Bikira Maria alijificha na Mtoto Yesu kufuatia tishio la Mfalme Herode kutaka kumuua Mtoto Yesu. Ziara hii inasisitiza umuhimu wa kuenzi, kudumisha na kuendeleza amani, umoja na kuwa na uelewa wa pamoja katika imani na utamaduni wetu.
Trending
- ”AGE MATE” KADA WA CHAMA ALIYEZALIWA NA CCM AIBUKA MBEYA ATOA USHUHUDA YALIYOFANYWA KWA MIAKA 48
- Niliachika katika ndoa tatu kisa sikupata mtoto, ila ndoa ya nne nimezaa dume!
- WAKILI MWABUKUSI AFUNGUKA MBELE YA RAIS SAMIA
- Mke wangu ananinyima tendo la ndoa, nifanyeje?
- WATENDAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA TANGA, PWANI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI
- Naibu Waziri Mahundi Atimiza Ahadi: Akabidhi Mtambo wa Kuchakata Dhahabu kwa UWT Kyela
- UWT MBEYA MJINI YATOA MSAADA WA MIFUKO YA SARUJI NA KUPANDA MITI SHULE YA DR.TULIA ACKSON
- Ijue dawa iliyomponya Babu yetu ugonjwa wa Presha (BP)