Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 24 Mei 2024, ametembelea Kanisa la Mtakatifu Bikira Maria lililopo Cairo nchini Misri, eneo ambalo Bikira Maria alijificha na Mtoto Yesu kufuatia tishio la Mfalme Herode kutaka kumuua Mtoto Yesu. Ziara hii inasisitiza umuhimu wa kuenzi, kudumisha na kuendeleza amani, umoja na kuwa na uelewa wa pamoja katika imani na utamaduni wetu.
Trending
- Vigeregere na Shangwe! Dkt. Tulia Aongoza Mapokezi ya Mabomba ya Mradi wa Maji kutoka Mto Kiwira
- Nsomba Ampongeza Dk. Tulia Ackson kwa kutoa huduma ya matibabu ya Macho Bure Jijini Mbeya
- Dkt. Tulia Ackson Aongoza Zoezi la Upimaji na Matibabu ya Macho Bure Jijini Mbeya
- JK AWAILISHA SALAMU ZA RAIS SAMIA KWA KEPTENI IBRAHIM TRAORE, KIONGOZI WA KIJESHI WA BURKINA FASO MJINI OUAGADOUGOU LEO
- WANANCHI WAIBUA TAHARUKI OFISI ZA VITAMBULISHO VYA NIDA MBEYA AFISA MSAJILI MBEYA ATOA UFAFAUZI
- Wakazi wa Mwansekwa na Igodima Wapongeza Upatikanaji wa Maji Safi
- Mbunge Masache: “Rais Samia ameboresha huduma za Afya na Elimu;Mitano tena kwake!!”
- “Wakulima Festival 2025: Tamasha Kubwa la Kilimo Kufanyika Mbeya kwa Ushirikiano wa Taasisi 100