Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 24 Mei 2024, ametembelea Kanisa la Mtakatifu Bikira Maria lililopo Cairo nchini Misri, eneo ambalo Bikira Maria alijificha na Mtoto Yesu kufuatia tishio la Mfalme Herode kutaka kumuua Mtoto Yesu. Ziara hii inasisitiza umuhimu wa kuenzi, kudumisha na kuendeleza amani, umoja na kuwa na uelewa wa pamoja katika imani na utamaduni wetu.
Trending
- “Kasaka: Chunya Tumejipanga, Kura za Rais Samia Ni Ushindi wa Kishindo”
- Mama Samia Kutua Mbeya 4/9: Wanambeya Wajipanga Kumlaki Mgombea Urais CCM
- Binti Aliyeishi Mitaani Leo Anaendesha Gari Aina ya Range Rover
- Wakora walivunja duka langu lakini baada ya masaa nne pekee wakarejesha pesa zote
- Siri Yangu Ya Kuvutia Wateja Hadi Dukani Kwangu, Sasa Biashara Imekuwa Tajiriba Kubwa
- Nyuki wa Ajabu Wamfukuza Mwanamke Kwa Aibu Kubwa Kutoka Kwa Nyumba ya Mpenzi
- Kutoka kuchunga ng’ombe hadi kushinda Sh27.4 milioni ya jackpot
- WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI