Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 24 Mei 2024, ametembelea Kanisa la Mtakatifu Bikira Maria lililopo Cairo nchini Misri, eneo ambalo Bikira Maria alijificha na Mtoto Yesu kufuatia tishio la Mfalme Herode kutaka kumuua Mtoto Yesu. Ziara hii inasisitiza umuhimu wa kuenzi, kudumisha na kuendeleza amani, umoja na kuwa na uelewa wa pamoja katika imani na utamaduni wetu.
Trending
- Waziri Mkuu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima kufunguliwa
- Kutoka hasara hadi faida katika biashara, mbinu ni hii
- Serie A yampa fedha baada ya kubaini mbinu bora ya betting
- Hatua moja muhimu ya kufanikiwa kibiashara
- MSIGWA Atoa Onyo kwa Vyombo vya Habari vya Nje: Zingatia Maadili
- Namna ya kuimarisha ustawi wa ndoa yako
- RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA
- Rungwe Wasaini Mkataba wa Bilioni 2.8 Kujenga Soko la Kisasa la Ndizi

