Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 24 Mei 2024, ametembelea Kanisa la Mtakatifu Bikira Maria lililopo Cairo nchini Misri, eneo ambalo Bikira Maria alijificha na Mtoto Yesu kufuatia tishio la Mfalme Herode kutaka kumuua Mtoto Yesu. Ziara hii inasisitiza umuhimu wa kuenzi, kudumisha na kuendeleza amani, umoja na kuwa na uelewa wa pamoja katika imani na utamaduni wetu.
Trending
- Baada ya kuijua Nyota yangu ndipo nikafanikiwa haraka maishani
- SIKU NMB MASTABATA ILIVYOWAPIGISHA SHOPPING YA KIBABE WATEJA WAKE MBEYA
- Naibu Waziri Mahundi Aongoza Sherehe ya WAWATA, Mbeya
- RC. Homera: Endeleeni kukiamini chama Cha Mapinduzi kitawaletea Mambo mengi
- “RC Homera: Tuwatafute Popote Walipo Watu Wenye Ulemavu, Tuwape Mikopo”
- MAHUNDI ACHANGIA 2M KIKUNDI CHA IVIMA MAKONGOROSI CHUNYA
- Naota nanyongwa na rafiki zangu, nikiamka nimewasahau!
- WAKAZI MTAA WA KATI SOWETO MBEYA WAINGIA MTAANI WAJITENGENEZEA BARABARA ILIYOHARIBIWA NA MVUA