Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda

November 18, 2025

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

November 17, 2025

Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto

November 17, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda
  • DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI
  • Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto
  • Safari ya Uponyaji Kutoka katika Maumivu ya Hedhi
  • RAIS SAMIA atangaza Baraza lake jipya la mawaziri
  • Aondokana na umaskini wa kutupwa baada ya kujua mbinu za betting
  • Nilivyopambana na Baby Mama Aliyenigeuza Mfadhili Pekee Bila Haki, Mpaka Hatimaye Nikaweza Kuwa Karibu na Watoto Wangu Tena
  • VIDEO: ZIARA YA KUSHTUKIZA YA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA, HOSPITALI YA RUFAA YA DODOMA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MH MHANDISI MARYPRISCA MAHUNDI AZINDUA WIKI YA TAFITI NA BUNIFU MUST MBEYA
Video Mpya

MH MHANDISI MARYPRISCA MAHUNDI AZINDUA WIKI YA TAFITI NA BUNIFU MUST MBEYA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuDecember 3, 2024No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Naibu Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya amezindua wiki ya utafiti na ubunifu Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya.

Katika hotuba yake Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema tafiti na bunifu ndiyo nguzo kuu ya uchumi Duniani.

Amesema Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kiwe sehemu ya majibu na lazima wanachuo wajitofautishe na kada nyingine kwani soko lipo ndani na nje ya nchi.

Amesema juhudi za tafiti na bunifu Chuo Kikuu MUST kimemfanya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuvutiwa na kutoa pesa kupanua huduma Mkoa wa Rukwa.

Amewahimiza wanachuo kusoma kwa bidii ili kukitangaza Chuo ndani na nje ya nchi huku akisisitiza kauli mbiu “Nafasi ya utafiti na ubunifu katika kuimarisha kilimo” alisema Mahundi.

Amepongeza Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kwa kubuni dira za maji ambazo zinasambazwa nchini huku akihimiza bunifu katika kilimo ili waweze kujiajiri badala ya kutegemea ajira serikalini.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

November 17, 2025

Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto

November 17, 2025

RAIS SAMIA atangaza Baraza lake jipya la mawaziri

November 17, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025225

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Uncategorized

Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda

By Mbeya YetuNovember 18, 20250

Kutana na Sasha ambaye alikuwa msichana mwenye tabasamu la kuvutia na moyo wa upendo. Alizaliwa…

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

November 17, 2025

Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto

November 17, 2025

Safari ya Uponyaji Kutoka katika Maumivu ya Hedhi

November 17, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda

November 18, 2025

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

November 17, 2025

Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto

November 17, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025225

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.