Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 2025

MBEYA CITY YARUDI NBC PREMIER LEAGUE KIBABE FURAHA YAREJEA KWA WAKAZI JIJINI MBEYA

May 11, 2025

Mh. Mahundi Atoa Wito kwa Wasichana wa Mzumbe Ndaki ya Mbeya Kujikita Katika Masomo na Maadili

May 11, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA
  • MBEYA CITY YARUDI NBC PREMIER LEAGUE KIBABE FURAHA YAREJEA KWA WAKAZI JIJINI MBEYA
  • Mh. Mahundi Atoa Wito kwa Wasichana wa Mzumbe Ndaki ya Mbeya Kujikita Katika Masomo na Maadili
  • WANANCHI:”DKT TULIA AMEGUSA MAKUNDI YOTE MBEYA YUPO YUPO SANA”
  • WASANII BONGO MOVIE WAMUELEZEA DKT TULIA WALIPOSHIRIKI TULIA MARATHON MBEYA
  • WANAMWEF WALIVYOSHIRIKI TULIA MARATHON
  • MHE. MAHUNDI: MBEYA TULIA MARATHON NI NGUZO YA MAENDELEO KWA JAMII
  • Mashindano ya Riadha ya Betika Mbeya Tulia Marathon 2025 Yametamatika kwa Mafanikio Makubwa
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MH MHANDISI MARYPRISCA MAHUNDI AZINDUA WIKI YA TAFITI NA BUNIFU MUST MBEYA
Video Mpya

MH MHANDISI MARYPRISCA MAHUNDI AZINDUA WIKI YA TAFITI NA BUNIFU MUST MBEYA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuDecember 3, 2024No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Naibu Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya amezindua wiki ya utafiti na ubunifu Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya.

Katika hotuba yake Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema tafiti na bunifu ndiyo nguzo kuu ya uchumi Duniani.

Amesema Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kiwe sehemu ya majibu na lazima wanachuo wajitofautishe na kada nyingine kwani soko lipo ndani na nje ya nchi.

Amesema juhudi za tafiti na bunifu Chuo Kikuu MUST kimemfanya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuvutiwa na kutoa pesa kupanua huduma Mkoa wa Rukwa.

Amewahimiza wanachuo kusoma kwa bidii ili kukitangaza Chuo ndani na nje ya nchi huku akisisitiza kauli mbiu “Nafasi ya utafiti na ubunifu katika kuimarisha kilimo” alisema Mahundi.

Amepongeza Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kwa kubuni dira za maji ambazo zinasambazwa nchini huku akihimiza bunifu katika kilimo ili waweze kujiajiri badala ya kutegemea ajira serikalini.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MBEYA CITY YARUDI NBC PREMIER LEAGUE KIBABE FURAHA YAREJEA KWA WAKAZI JIJINI MBEYA

May 11, 2025

Mh. Mahundi Atoa Wito kwa Wasichana wa Mzumbe Ndaki ya Mbeya Kujikita Katika Masomo na Maadili

May 11, 2025

WANANCHI:”DKT TULIA AMEGUSA MAKUNDI YOTE MBEYA YUPO YUPO SANA”

May 11, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024169

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202481

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202457

MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI MBEYA YAANZA,WANAHABARI WATEMBELEA MIRADI

March 16, 202444
Don't Miss

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

By Mbeya YetuMay 12, 202530

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani…

MBEYA CITY YARUDI NBC PREMIER LEAGUE KIBABE FURAHA YAREJEA KWA WAKAZI JIJINI MBEYA

May 11, 2025

Mh. Mahundi Atoa Wito kwa Wasichana wa Mzumbe Ndaki ya Mbeya Kujikita Katika Masomo na Maadili

May 11, 2025

WANANCHI:”DKT TULIA AMEGUSA MAKUNDI YOTE MBEYA YUPO YUPO SANA”

May 11, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 2025

MBEYA CITY YARUDI NBC PREMIER LEAGUE KIBABE FURAHA YAREJEA KWA WAKAZI JIJINI MBEYA

May 11, 2025

Mh. Mahundi Atoa Wito kwa Wasichana wa Mzumbe Ndaki ya Mbeya Kujikita Katika Masomo na Maadili

May 11, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024169

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202481

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202457
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.