Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Waziri Mkuu Ajibu Maswali Mazito Toka kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari

November 25, 2025

WAZIRI NANAUKA ATAKA VIJANA WASIKILIZWE

November 25, 2025

Je, unatafuta kazi kwa muda mrefu fanya hivi

November 25, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Waziri Mkuu Ajibu Maswali Mazito Toka kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari
  • WAZIRI NANAUKA ATAKA VIJANA WASIKILIZWE
  • Je, unatafuta kazi kwa muda mrefu fanya hivi
  • Waziri Mkuu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima kufunguliwa
  • Kutoka hasara hadi faida katika biashara, mbinu ni hii
  • Serie A yampa fedha baada ya kubaini mbinu bora ya betting
  • Hatua moja muhimu ya kufanikiwa kibiashara
  • MSIGWA Atoa Onyo kwa Vyombo vya Habari vya Nje: Zingatia Maadili
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MWEF YATOA MSAADA KWA HOSPITALI YA WAZAZI META
Video Mpya

MWEF YATOA MSAADA KWA HOSPITALI YA WAZAZI META

Mbeya YetuBy Mbeya YetuDecember 26, 2024No Comments2 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Taasisi ya Maryprisca Women Impowerment Foundation(MWEF)inayoongozwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Mkurugenzi wa Taasisi Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi imetembelea Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya kwa ajili ya kutoa msaada kwa wazazi waliojifungua siku ya sikukuu ya Christmas.

Mwenyekiti wa Taasisi ya Maryprisca Women Impowerment Foundation Adam Simbaya amesema lengo la kutembea Hospitali ya wazazi Meta ni kumshukuru Mungu pia akianisha zawadi zilizotolewa kuwa ni pamoja na maziwa, sabuni,pampas na wipes.

Aidha Simbaya amesema wanaunga mkono juhudi zinazofanywa na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi ambaye amekuwa akiyagusa makundi mbalimbali yakiwemo ya wanawake na watoto.

Scolastica Kapinga ni muuguzi wa zamu kwa niaba ya uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya Kitengo cha Wazazi Meta ameishukuru Taasisi hiyo kwa kutoa msaada kwa wazazi na watoto sanjari na maboresho makubwa yaliyofanywa na serikali yamefanya watoe huduma kwa ufanisi mkubwa.

Kapinga amesema jumla ya watoto 18 wamezaliwa siku ya sikukuu ya Christmas tisa wakiwa ni wa kiume na tisa wa kike.

Afisa Ustawi wa Jamii Wiberd Mussa ameishukuru Taasisi kwa upendo kuwakumbuka watoto huku akiwataka wadau wengine kujitokeza kutoa misaada kwa wazazi na watoto ambao baadhi hutoka nje ya Mkoa wa Mbeya.

Tusekile Abel na Hafsa Hassan ni wazazi waliojifungua watoto mapacha kila mmoja wameishukuru Taasisi kwa kuwapa msaada pia wakiwashukuru madaktari na wauguzi kwa huduma nzuri.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Waziri Mkuu Ajibu Maswali Mazito Toka kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari

November 25, 2025

Waziri Mkuu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima kufunguliwa

November 24, 2025

MSIGWA Atoa Onyo kwa Vyombo vya Habari vya Nje: Zingatia Maadili

November 23, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025232

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Video Mpya

Waziri Mkuu Ajibu Maswali Mazito Toka kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari

By Mbeya YetuNovember 25, 20250

WAZIRI NANAUKA ATAKA VIJANA WASIKILIZWE

November 25, 2025

Je, unatafuta kazi kwa muda mrefu fanya hivi

November 25, 2025

Waziri Mkuu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima kufunguliwa

November 24, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Waziri Mkuu Ajibu Maswali Mazito Toka kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari

November 25, 2025

WAZIRI NANAUKA ATAKA VIJANA WASIKILIZWE

November 25, 2025

Je, unatafuta kazi kwa muda mrefu fanya hivi

November 25, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025232

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.