Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Dkt. Mwigulu: “Mabasi ya Esther Yamechomwa Wakidhani Ni Yangu”

November 21, 2025

Mama Dkt. Samia Atua Arusha atoa neno

November 21, 2025

Mbinu ya kupata faida katika biashara ya samaki, uvuvi

November 21, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Dkt. Mwigulu: “Mabasi ya Esther Yamechomwa Wakidhani Ni Yangu”
  • Mama Dkt. Samia Atua Arusha atoa neno
  • Mbinu ya kupata faida katika biashara ya samaki, uvuvi
  • WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUZUIA HATI YAKE
  • Mgombea Umeya Jiji la Mbeya, Noah Mwakisu Arejesha Fomu; Aahidi “Ukombozi wa Jiji”
  • MVUA ILIYONYESHA LUMBILA IWAMBI MBEYA MITARO YAFURIKA MAKAZI YA WATU YAJAA MAJI BIASHARA ZASIMAMA
  • Afanikiwa kuoa baada ya kuvunja vifungo vya ukoo!
  • MWAKIPESILE: ”YALIYOJIRI OKT 29 YAMETUUMIZA,TUMUUNGE MKONO RAIS,WAZIRI MKUU MWIGULU NI MZALENDO”
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » RAIS SAMIA AUNGWA MKONO NA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA NCHINI
Afya na Ustawi

RAIS SAMIA AUNGWA MKONO NA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA NCHINI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuApril 8, 2025Updated:April 8, 2025No Comments1 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Watumishi wa Afya ambao ni Mabalozi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya kutoka Dodoma jana wamefanya ziara ya mfano kuitembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma (DRRH) na kutoa msaada wa vifaa tiba na dawa kwa watoto wanaohitaji huduma za afya. Akizingumza na Wafanyakazi wa wodi ya Watoto wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, Bi. Naima Mkingule ambae ni Kiongozi wa msafara amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya taasisi za afya, jamii, na wadau mbalimbali ili kuhakikisha kuwa watoto wanapata huduma bora na kwa haraka.“Katika kuhakikisha watoto wetu wanapata huduma bora za afya, ni muhimu kuunganisha nguvu zetu. Ushirikiano kati ya taasisi za afya, jamii, na wadau wengine ni msingi wa mafanikio yetu katika kutatua changamoto za kiafya zinazowakabili watoto.” – Bi. Naima Mkingule, Kiongozi wa Msafara.
Mkingule ameeleza kuwa msaada huo wa vifaa tiba na dawa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Wizara ya Afya katika kuboresha upatikanaji wa huduma bora za afya maeneo mbalimbali nchini, hususan kwa watoto, ambao wanahitaji huduma za matibabu ili kuweza kupona magonjwa yanayoathiri maisha yao.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025

“Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”

May 21, 2025

Dkt. Tulia Azindua Ambulansi Mpya kwa Kituo cha Afya Mwakibete ili Kuboresha Huduma za Afya Mbeya

April 19, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025228

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Video Mpya

Dkt. Mwigulu: “Mabasi ya Esther Yamechomwa Wakidhani Ni Yangu”

By Mbeya YetuNovember 21, 20251

Mama Dkt. Samia Atua Arusha atoa neno

November 21, 2025

Mbinu ya kupata faida katika biashara ya samaki, uvuvi

November 21, 2025

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUZUIA HATI YAKE

November 21, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Dkt. Mwigulu: “Mabasi ya Esther Yamechomwa Wakidhani Ni Yangu”

November 21, 2025

Mama Dkt. Samia Atua Arusha atoa neno

November 21, 2025

Mbinu ya kupata faida katika biashara ya samaki, uvuvi

November 21, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025228

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.