Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo

September 17, 2025

Nilirogwa Nipoteze Kila Kitu ila Hatua Niliyopiga Ilinivunja Minyororo Ya Uchawi

September 17, 2025

Niliibiwa Gari Yangu Usiku, Lakini Hatua Niliyopiga Ilifanya Wezi Wenyewe Walirudishe Hadi Getini

September 16, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo
  • Nilirogwa Nipoteze Kila Kitu ila Hatua Niliyopiga Ilinivunja Minyororo Ya Uchawi
  • Niliibiwa Gari Yangu Usiku, Lakini Hatua Niliyopiga Ilifanya Wezi Wenyewe Walirudishe Hadi Getini
  • Nilipoteza Mume Wangu Kwa Mpango wa Kando ila Kitu Nilichojaribu Kilimfanya Aombe Radhi Hadharani
  • Wezi walioiba gari langu waja nyumbani kujisalimisha wenye na kukiri makosa
  • Shuleni walimuita “kichwa maji” ila sasa ana shule yake
  • Alipambana sana kupata mapenzi ya huyu binti bila mafanikio ila leo hii wapo pamoja
  • BRANDY NELSON:’NILIUKOSA UDIWANI V/MAALUM 2020 NIKAANZA UPYA 2025 CHAMA KIMENICHAGUA KUGOMBEA KATA’
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » VIJANA CCM MBEYA DC WAJIPANGA KUPIGA KURA OKTOBA 2025.
Habari za Kitaifa

VIJANA CCM MBEYA DC WAJIPANGA KUPIGA KURA OKTOBA 2025.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJune 13, 2025No Comments2 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Wananchi wa Jimbo la Mbeya vijijini hususani vijana wamehimizwa kujiandaa kushiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 kwa maelezo kuwa ni haki yao kuchagua viongozi wanaowataka kwa mujibu wa katiba kwa maendeleo yao.

Wito huo umetolewa na Gabriel Kilembe afisa kutoka ofisi ya Mbunge wa Mbeya vijijini Oran Njeza wakati akizungumza na wananchi hususani vijana katika kata ya Inyala waliokusanyika kwa ajili ya bonanza la michezo na kukutanisha vijiji ikiwemo vya Inyala na Darajani.

Kilembe amewapongeza vijana kwa kuendelea kushirikiana na viongozi wao kuanzia ngazi ya vitongoji ambao wamekuwa chachu ya kusogeza huduma za maendeleo kwenye maeneo yao katika sekta mbalimbali.

Amesema Serikali imefanya mambo mengi ya kimaendeleo ikiwemo usambazaji huduma ya umeme kote vijijini, ujenzi wa shule, uboreshaji huduma za afya, miundombinu ya barabara na maeneo mengineyo hivyo kuwataka vijana kuwa kielelezo kwa kujitokeza kushiriki uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu ili kuchagua viongozi bora anaodai watasimamishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Amesema pia Mbunge wa Mbeya vijijini Mhe. Oran Manasse Njeza amekuwa mdau mkubwa wa sekta ya michezo ndio maana ameendelea na ugawaji jezi kwenye timu zaidi ya arobaini katika kata mbalimbali za jimbo hilo na kuahidi kuendelea kushirikiana na wananchi wake katika nyanja mbalimbali.

Fredy Mwampashi ni kiongozi wa vijana wa itifaki wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Mbeya vijijini, amewataka wananchi kuendelea kumuunga mkono Mbunge wa Mbeya vijijini Oran Njeza kwani ni kiongozi mahili, msikivu, mchapa kazi na muadilifu ndio maana amepewa nafasi ya kuongoza kamati ya kudumu ya bajeti Bungeni kama mwenyekiti wa kamati hiyo nyeti.

Baadhi ya wananchi waliozungumza nasi wamesema watahakikisha wanashiriki uchaguzi mkuu mwaka huu kwakuwa ni takwa la kikatiba na kueleza kupuuza madai ya baadhi ya wananchi wanaopinga kufanyika kwa uchaguzi mkuu.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.

September 15, 2025

DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI

September 14, 2025

TUME YATOA MWALIKO KWA WAANDISHI WA HABARI WENYE NIA YA KURIPOTI MATUKIO WAKATI WA UCHAGUZI

September 3, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025208

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025124
Don't Miss
Uncategorized

Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo

By Mbeya YetuSeptember 17, 20250

Katika kijiji kidogo kilichopo Tarime, aliishi kijana aitwaye Benedicto. Alizaliwa katika familia ya kimasikini sana,…

Nilirogwa Nipoteze Kila Kitu ila Hatua Niliyopiga Ilinivunja Minyororo Ya Uchawi

September 17, 2025

Niliibiwa Gari Yangu Usiku, Lakini Hatua Niliyopiga Ilifanya Wezi Wenyewe Walirudishe Hadi Getini

September 16, 2025

Nilipoteza Mume Wangu Kwa Mpango wa Kando ila Kitu Nilichojaribu Kilimfanya Aombe Radhi Hadharani

September 16, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo

September 17, 2025

Nilirogwa Nipoteze Kila Kitu ila Hatua Niliyopiga Ilinivunja Minyororo Ya Uchawi

September 17, 2025

Niliibiwa Gari Yangu Usiku, Lakini Hatua Niliyopiga Ilifanya Wezi Wenyewe Walirudishe Hadi Getini

September 16, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025208

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.