Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

UTAINJOI VIJEMBE NA UTANI BAHATI NDINGO,MWAKABWANGA, MUBALI KAMPENI WATEULE WATANO JIMBO LA MBARALI

July 31, 2025

WATANZANIA WAHAMASISHWA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2025

July 31, 2025

Sikuwahi kuwaza kama nitakuja kuolewa katika umri huu

July 31, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • UTAINJOI VIJEMBE NA UTANI BAHATI NDINGO,MWAKABWANGA, MUBALI KAMPENI WATEULE WATANO JIMBO LA MBARALI
  • WATANZANIA WAHAMASISHWA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2025
  • Sikuwahi kuwaza kama nitakuja kuolewa katika umri huu
  • Nilikuwa naishi kwenye banda la mabati sasa majirani wanapiga picha kwenye nyumba yangu ya ghorofa
  • “MAHUNDI: Uongozi Wangu ni kwa Wanawake wa Mbeya – Asanteni kwa kuniamini tena
  • “SUMA FYANDOMO: Nitajifunza na Kushirikiana Nanyi! Aibuka na kura 1152.
  • Nilivyoweza kurejesha heshima ndani ya ndoa yangu
  • KUMEKUCHA!! WATEULE SITA UBUNGE CCM JIMBO MBEYA MJINI WAANZA KUUZA SERA ZAO KWA WAJUMBE,KATIKA KATA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Waziri Aweso Aagiza Mabomba Yote ya Mto Kiwira Yatengenezwe Mara Moja
Habari za Kitaifa

Waziri Aweso Aagiza Mabomba Yote ya Mto Kiwira Yatengenezwe Mara Moja

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJuly 24, 2025No Comments7 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amemtaka Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji kushirikiana na mkandarasi anayetekeleza mradi wa maji wa chanzo cha Mto Kiwira kuweka makubaliano maalum na kiwanda kinachotengeneza mabomba yatakayotumika katika zaidi ya kilomita 30 za mradi huo, ili kuhakikisha mabomba yote yanatengenezwa kwa wakati mmoja.

Mhe. Aweso ametoa maelekezo hayo leo alipofanya ziara kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi huo, ambapo alieleza kuridhishwa na kazi kubwa iliyofanyika chini ya usimamizi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya (MBEYAUWSA). Hata hivyo, alieleza kuwa changamoto kubwa iliyobainika ni ucheleweshaji wa ulazaji wa mabomba kutoka kwenye chanzo cha maji hadi kwenye tanki kuu — tatizo linalosababishwa na uchelewaji wa upatikanaji wa mabomba katika eneo la mradi.

Akizungumza katika ziara hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa MBEYAUWSA, CPA Gilbert Kayange, alisema kuwa mradi huo ni wa kimkakati na utakapokamilika utaongeza upatikanaji wa huduma ya maji kwa wakazi wa Jiji la Mbeya na maeneo jirani kwa kipindi cha zaidi ya miaka 20 ijayo.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa MBEYAUWSA, Bi. Edna Mwaigomole, aliipongeza Serikali kwa utayari wake wa kutoa fedha zinazohitajika kukamilisha mradi huo kwa wakati, akisema hatua hiyo inaonesha dhamira ya dhati ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Aidha, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Beno Malisa, amemuomba Waziri Aweso kuisaidia taasisi ya Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Mbeya kwa kuiwezesha kifedha ili kukamilisha zaidi ya miradi 10 ya maji inayosuasua kutokana na ukosefu wa fedha kwa wakati.

default
default

“RUWASA imekuwa ikikumbwa na changamoto ya fedha, jambo ambalo linaathiri kasi ya utekelezaji wa miradi ya maji vijijini. Tunaomba Wizara itazame hili kwa jicho la huruma,” alisisitiza Mhe. Malisa.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

WATANZANIA WAHAMASISHWA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2025

July 31, 2025

VYAMA VYA SIASA VYAHAKIKISHIWA UWANJA SAWA UCHAGUZI MKUU 2025

July 27, 2025

WATANZANIA MILIONI 37 KUPIGA KURA TAREHE 29 OKTOBA, 2025

July 26, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024178

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 202586

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202485

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202580
Don't Miss
Video Mpya

UTAINJOI VIJEMBE NA UTANI BAHATI NDINGO,MWAKABWANGA, MUBALI KAMPENI WATEULE WATANO JIMBO LA MBARALI

By Mbeya YetuJuly 31, 20250

#mbeyayetutv

WATANZANIA WAHAMASISHWA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2025

July 31, 2025

Sikuwahi kuwaza kama nitakuja kuolewa katika umri huu

July 31, 2025

Nilikuwa naishi kwenye banda la mabati sasa majirani wanapiga picha kwenye nyumba yangu ya ghorofa

July 31, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

UTAINJOI VIJEMBE NA UTANI BAHATI NDINGO,MWAKABWANGA, MUBALI KAMPENI WATEULE WATANO JIMBO LA MBARALI

July 31, 2025

WATANZANIA WAHAMASISHWA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2025

July 31, 2025

Sikuwahi kuwaza kama nitakuja kuolewa katika umri huu

July 31, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024178

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 202586

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202485
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.