Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100

February 28, 2026

Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari

February 28, 2026

VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII

February 28, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100
  • Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari
  • VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII
  • TAKUKURU MBEYA YAOKOA ZAIDI YA MILIONI 100, YAIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
  • Mfumo wa kidigitali wa Vyeti vya Uasili kupitia Chemba ya Taifa ya Biashara Tanzania (TNCC) waanza rasmi Machi 2, 2026
  • MAHUNDI: SERIKALI KUIMARISHA ELIMU YA MALEZI KUPITIA KAMPASI YA KISANGARA
  • Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na NHIF Mkoa wa Mbeya waelimisha walemavu kuhusu Bima ya Afya
  • Serikali na TNCC Kuunganisha Mifumo Kidigitali, TRA Yaimarisha Ukusanyaji Mapato
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » DKT. TULIA AHAIDI KUMALIZA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU KWA WANANCHI WAKE
Habari za Kitaifa

DKT. TULIA AHAIDI KUMALIZA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU KWA WANANCHI WAKE

Mbeya YetuBy Mbeya YetuSeptember 24, 2025No Comments7 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uyole kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi ( CCM) Dkt. Tulia Ackson, ameendelea na Kampeni Zake za Kuomba ridhaa kwa Wananchi wa Jimbo hilo kumchagua kwa kura nyingi kwa nafasi yake ya Ubunge na kura nyingi kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi ya Urais katika Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 ili wakaendelee kutatua Changamoto zinazowakabili ikiwemo upatikanaji wa Soko la Kisasa ndani ya Mtaa wa Ituha Kata ya Ilomba.

Akizungumza mbele ya Wananchi wa kata ya Ilomba Katika Mitaa wa Ituha leo tarehe 23 Septemba, 2025 , Dkt. Tulia amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kimejipanga Kufanya kazi Kama ambavyo Kimefanya awamu zilizopita Katika sekta mbalimbali ikiwemo Elimu, Afya, Nishati na Miundombinu hivyo Wananchi Wanapaswa Kuwa na imani kubwa.

Katika hatua nyingine, Dkt. Tulia amesema katika sekta ya Elimu ndani ya kata ya Ilomba CCM imejenga Shule ya Msingi Tonya, imejenga Madarasa Mapya na Kuboresha Mazingira ya Elimu Sambamba na Kumaliza tatizo la uhaba wa Madawati, imeboresha Miundombinu ya Shule ya Sekondari Ilomba na Kujenga Shule ya Sekondari Ikulu sambamba na kutoa Vifaa vya Shule (Daftari) na Sare za Shule kwa wanafunzi wanaotoka Kwenye Mazingira Magumu ili watoto wa Ilomba wapate elimu bora na hayo yote yataendelea kufanyika endapo wataipa dhamana CCM.

Hali kadhalika, Dkt. Tuliaameongeza kuwa, aanatarajia kuboreha Miundombinu Katika sekta ya Elimu ikiwemo Ukarabati wa Madarasa Kwa Shule zote za Msingi na Sekondari, Kumaliza Changamoto ya Maji Kupitia Mradi wa Mto Simba utakaopeleka Maji ndani ya Kata hiyo kwani tayari utekekelezaji wake umeanza na pia Mradi Mkubwa wa Mto Kiwira utamaliza Kabisa tatizo la Maji, Kuhakikisha zahanati ya Ilomba inatoa huduma zilizo bora na pia Kujenga Kituo cha Afya na Kuboresha zaidi huduma Katika Hospitali ya Wilaya ya Igawilo ikiwemo Kuongeza Wahudumu na Kutoa Bima za Afya Kwa wote hususani Kaya zisizojiweza.

Katika hatua Nyingine, Dkt .Tulia amesema atahakikisha Barabara ndani ya Kata ya Ilomba zinajengwa Kwa Kiwango Cha lami pamoja na kuunganisha Kata ya Ilomba na Uyole kupitia Barabara ya Roma Ituha Kwenda Nsongwi Juu na kuzifanya Barabara za Mitaa zipitike nyakati zote.

Kampeni za jimbo la Uyole zinapambwa na kaulimbiu ya “Uyole Kazi” ikilenga Kufanya kazi Kwa Maarifa na Nguvu Zaidi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100

February 28, 2026

TAKUKURU MBEYA YAOKOA ZAIDI YA MILIONI 100, YAIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

February 27, 2026

MAHUNDI: SERIKALI KUIMARISHA ELIMU YA MALEZI KUPITIA KAMPASI YA KISANGARA

February 26, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025360

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025140
Don't Miss
Habari za Kitaifa

SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100

By Mbeya YetuFebruary 28, 202611

Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mzee Rashidi Mfaume Kawawa, mwanasiasa mashuhuri na…

Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari

February 28, 2026

VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII

February 28, 2026

TAKUKURU MBEYA YAOKOA ZAIDI YA MILIONI 100, YAIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

February 27, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100

February 28, 2026

Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari

February 28, 2026

VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII

February 28, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025360

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.