Ndoa yangu ilifika hatua ya kutisha. Kila usiku tulikuwa tukilumbana kuhusu kitu kipya, hasa pesa na wivu. Mume wangu alianza kubadilika ghafla alikuwa mkali, mwenye hasira, na mara nyingi hakutaka kurudi nyumbani mapema.
Nilijaribu kumwelewa, lakini kila nilipojaribu kuzungumza naye, mambo yaliharibika zaidi. Tulianza kulala migongo, hatukuongea tena kwa upole, na hata watoto walihisi baridi ya mapenzi ndani ya nyumba.
Mimi ndiye niliyekuwa na kazi ndogo ya kuuza nguo, lakini sikuwa nikipata wateja kama zamani. Kila kitu kilianza kwenda mrama. Wakati mwingine nilihisi kama kuna nguvu mbaya zilikuwa zinavuruga maisha yetu. Mume wangu alianza kunishuku kuwa nina mtu mwingine, na mimi pia nikaanza kuwa na wivu wa kupitiliza. Ilifika mahali nilihisi kama ndoa yetu haingeweza kuendelea tena.
Nililia sana. Wakati mwingine nililala bila kula, nikijiuliza ni wapi tulikosea. Marafiki walinipa ushauri tofauti wengine walinambia niondoke, wengine walinambia nivumilie, lakini hakuna aliyenisaidia kupata suluhisho la kweli. Nilijaribu maombi, nilijaribu kufunga, lakini bado tulikuwa tunagombana kila siku. Ilifika hatua nilihisi kama kuna nguvu za kichawi au laana iliyokuwa inatusumbua. Soma zaidi hapa
